STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, March 29, 2014

Hivi ndivyo Shule ya Joyland ilivyowapa faraja yatima wa Chamazi

Wanafunzi wa Joyland Pre& Primary wakiwa wamejichangana na yatima wa kituo cha Yatima Trust Fund huku walimu wao wakiwa wamesimama

Walimu wa Shule ya Joyland wakijitambulisha mbele ya hadhara mchana wa leo kabla ya kukabidhi msaada wao kwa yatima
Mkurugenzi wa Shule ya Joyland, Fred Otieno akizungumza kabla ya kukabidhi msaada kwa yatima wa kituo cha Yatima Trust Funds
Wanafunzi wa Joyland wakiwa wamekaa kando ya yatima wa kituo cha Yatima Trust Fund
Baadhi ya yatima wanaolelewa na kituo cha Yatima Trust Funds wakiwa makmini kufuatilia matukio yaliyokuwa wakiendelea kwenye hafla ya kukabidhiwa misaada na Shule ya Joyland
Watoto wakiwa bize kufuatilia matukio kwenye hafla iliyofanyika leo Chamazi
Yatima wanaolelewa kituo cha Yatima Trust wakionyesha ujuzi wao wa kunengua
Wnachuana kucheza muziki uliokuwa unaporomoshwa
Kama Super Nyamwela! Dogo ana kipaji cha kucheza muziki nouma!
Bendi ya Shule ya Joyland ilikuwapo kuwatumbuiza yatima siku ya leo yaani ilikuwa faraja kubwa kwa watoto hao
Mkurugenzi wa Joyland Pre& Primary, Fred Otieno akiomba kabla ya shughuli kuanza...yaani kama Pastor
Ameen! Walimu na watoto wakitikia sala ya mambi kabla ya shughuli kuanza leo Chamazi.
Ameeen! Watoto wakiitikia dua
Baadhi ya yatima wakiwa wamewabeba wanafunzi wa Joyland waliowatembelea kituoni kwao leo na kukabidhiwa msaada ya vitru mbalimbali vyenye thamani ya Sh. Mil. 5
Utoto bana! wenzake wanaangalia mbele yeye anaangalia nyuma, lakini ni raha tupu!
Baadhi ya walimu wa Joyland wakiwa katika pozi kuangalia usalama wa watoto wao na yatima waliowatembelea
Yaani hawa madogo walifanya hata wenzao wasahau kucheza muziki kuwashuhudia vizuri wanavyochuana kunengua kwa raha zao
We angalia mpambano ulivyokuwa halafu toa maoni yako unadhani nani aliibuka mkali wa kudansi
Mkaanga Chips huyu balaa kama Titina Alcapone au Komba Belou Mafwala

Sehemu ya msaada uliotolewa na Shule ya Joyland kwa Yatima Trust Funds
Madam Anna alikuwa bize na mtoto aliyempakata...uchungu wa mwana jamani!
baadhi ya walimu wa Joyland waliowatembelea yatima wa Chamazi
Walimu wa Joyland wakiwa katika pozi

No comments:

Post a Comment