STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, April 6, 2014

Real Madrid haishikiki Hispania yapiga mtu 4-0

Gareth Bale akiwajibika uwanjani usikuwa jana
KLABU ya Real Madrid imeendelea kugawa dozi kwa wapinzani wao baada ya usiku ya jana kuifumua Real Sociedad kwa mabao 4-0 licha ya kucheza ugenini.
Mabao ya Illarramendi katika dakika ya 45 na mengine ya kipindi cha pili kupitia Gareth Bale, Pepe na Alvaro Morata yalitosha kuipa uipa ushindi muhimu vijana hao wa Carlo Ancelotte wakati wakielekea kwenye pambano lao la marudiano la Ligi ya Mabingwa Ulaya ugenini dhidi ya Borussia Dortmund.
Ushindi huo umeifanya Madrid kufikisha pointi 76 baada ya kucheza mechi 32 na kuendelea kupumua nyuma ya Barcelona na Atletico Madrid wanaoongoza msimamo wa ligi hiyo wakiwa na pointi 79 moja zaidi ya Barca yenye 78.

No comments:

Post a Comment