STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, May 27, 2014

Mbeya City wateleza Sudan, Wakenya waongoza kundi lao


WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya CECAFA Nile Basin Cup,Mbeya City chini ya kocha mkuu Juma Mwambusi wamefungwa mabao 2-1 na AFC Leopard ya Kenya katika mchezo uliopigwa usiku wa jana mjini Khartoum.
Bao la Mbeya City lilifungwa na kiungo mshambuliaji,Deus Kaseke, huku washindi wakitangulia kufunga mabao yao .
Ushindi huo unawafanya AFC Leopard wajikite kileleni mwa kundi B baada ya kufikisha pointi 6.

No comments:

Post a Comment