STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, August 31, 2014

Falcao akana taarifa za kuitamani Real Madrid

http://img.bleacherreport.net/img/images/photos/002/646/272/hi-res-174611730-radamel-falcao-of-monaco-looks-on-during-the-the-pre_crop_north.jpg?w=630&h=420&q=75MSHAMBULIAJI Ramadel Falcao amekanusha taarifa kwamba anaitamani Real Madrid na kudai taarifa iliyoandikwa kwenye akaunti ya Twitter haikuandikwa na yeye ndiyo maana ilikuwa hewani kabla ya kufutwa.
Mchezaji huyo toka Colombia anayeichezea Monaco amesema bado yupo Monaco na hajui chochote kuhusu kutaka kujiunga Real Madrid.
Awali mitandao mbalimbali vilidokeza kiu ya Falcao kutaka kwenda Bernabeu Santiago na kuiacha kwenye mataa Manchester City iliyokuwa ikitajwa kumnyemelea.
Done deal? Colombian international tweeted about his move to the Bernabeu before the message was deleted

No comments:

Post a Comment