STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, August 31, 2014

Yanga wamrejesha Bin Kleb, Mayay Jangwani

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEigmMCsDvsvatO7Ks4FTRpYb65iIPD0Xa862O2e8CK7v0EhDcHssDgIXyv_bJwPuDmW59cl7Zc-Nh5AD4uAMSCAvfWlJKxXtEXn9UELzVdH7lBM-WosGhcclfjP5-3dbz961KZuVxvLyn8/s1600/MAYAI+NA+MOSHA.jpg
Mayay
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgA5YySWRcd9L8IvN54wEhFTqZ-Q07h1s-mM2-pigTTJdzAF3bAu_Zf0UTublQc5qMflINX5-w3hdCTK0dKYtUDTLYbf9PsyRB8Ft_Z2Ity3wXAqyYXfsTiJVPtVvc2Az0TPm-D4GQdEPw/s1600/kleb.jpg
Bin Kleb (kushoto)
KLABU ya Yanga imeendelea kutangaza kamati zake ambapo safari hii katika uundwaji wa kamati hizo imewarejesha kundini Abdallah Bin Kleb na Ally Mayay.
Ebu zisome mwenyewe hapo chini;
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
WAJUMBE Wenza wa Kamati ya Utendaji ya YANGA (Maendeleo ya Michezo), Ndugu Seif Ahmed na Engineer Isaac Chanji, wanapenda kutoa taarifa kupitia vyombo vya habari kwa wanaYANGA, wameunda Kamati ndogo chini ya Kamati ya Utendaji ya YANGA zifuatazo:

   1) KAMATI YA UFUNDI Wajumbe:
 1)  Duduma, Nassoro
 2)  Lamlembe, Roger
 3)  Malulu, Pascal
 4)  Msolla, Peter
 5)  Zangira, Steve

2) KAMATI YA SOKA YA VIJANA NA WANAWAKE Wajumbe:
1) Katwila, Shaban
2) Kabisa, Jessica (Advocate)
3) Mazwile, Isack  
4) Mwita, George
5) Tembele, Ally Mayay
3) KAMATI YA MASHINDANO   
Wajumbe:  
1)  Cheyo, Magembe      
2)  Didi, Ibrahim                  
3)  Hussein, Ndama Risasi      
4)  Katabalo, Moses             
5)  Katunzi, Mudhamiri        
6)  Kihanga, Pascal   
7)  Kingo, Ray Shauri
8)  Kleb, Abdallah Bin
9)  Luhago, David  
10) Lukumay, Samwel  
11) Macha, Innocent   
12) Maige, Jackson   
13) Mahende, Mugaya   
14) Makay, Sule       
15) Malebo, Michael    
16) Malume, Paul   
17) Matata   
18) Mbise, Anandumi Timothy   
19) Mlangwa, David   
20)  Mogha, John  
21) Mutaboyerwa, Joseph John
22) Ntimizi, Said  
23) Nyambaya, Lameck
24) Nyika, Hussein  
25) Nyumbamkaly,
26) Ramadhan, Fulgence 
27) Rashid, Ahmed    
28) Suleman, Majid    
29) Tenga, Frank    
30) Tindwa, Beda  
31) Zakaria, Dr.    
   
Ifahamike kwamba, kutakuwa na nyongeza ya uteuzi wa Wajumbe wengine wa Kamati za YANGA zilizotajwa hapo juu.
Ndugu Seif Ahmed na Engineer Isaac Chanji Wajumbe Wenza wa Kamati ya Utendaji ya YANGA (Maendelo ya Michezo) watakuwa Wenyekiti Wenza wa Kamati zilizotajwa hapo juu.
Kamati ya Utendaji ya YANGA, ina karibisha Wajumbe waliotajwa katika Kamati zilizotajwa hapo juu kwa dhamira njema kuwa watasaidia kujenga YANGA bora, na wanaomba ushirikiano kutoka kwa wanaYanga wote ili Wajumbe walioteuliwa waweze ketenda kazi zao vyema kwa manufaa ya YANGA.
(YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO)
 (BENO NJOVU)  
KATIBU MKUU WA YANGA

No comments:

Post a Comment