STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, December 9, 2014

Simba yamalizana na beki wa Gor Mahia

OWINO (KUSHOTO) AKIWA KAZINI NA GOR MAHIA.
KLABU ya Simba imemalizana na beki David Owino wa Gor Mahia.
Uongozi wa Simba kupitia kamati yake ya usajili, imefanya mazungumzo na beki huyo na kumalizana naye, kilichobaki ni suala la kuanguka saini tu.
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili, Zacharia Hans Poppe amesema wanachosubiri ni kumuona na kumalizana naye katika usajili.
"Kweli mazungumzo yamekwenda vizuri na Gor Mahia pia wamekubali, suala ni kukutana naye na kujua nini cha kufanya," alisema Hans Poppe.

SALEHJEMBE

No comments:

Post a Comment