
Nyota huyo aliyeshindwa kuitumia Mashetani Wekundu kwa msimu mzima kutokana na kuvunjia mguu mara mbili wakati akiipigania klabu yake katika Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya PSV Eindhoven, alitumia akaunti yake ya instagram kumfikishia ujumbe kocha wake.
"Nipo tayari" alisema Shaw.
Siku baada ya siku naendelea vema na nazidi kuimarika," aliongeza beki huyo wa zamani wa klabu ya Southampton.
No comments:
Post a Comment