MICHARAZO MITUPU

KWA HABARI ZA BURUDANI, MICHEZO NA MATUKIO MBALIMBALI

STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, September 22, 2012

Minziro amrithi Saintfeit, Mwalusako arejeshwa Jangwani

Lawrance Mwalusako
KLABU ya soka ya Yanga imemrejesha madarakani Katibu Mkuu wao wa zamani, Lawrance Mwalusako na kumpa nafasi kocha msaidizi wa timu hiyo, Fred Felix Minziro kukaimu ukocha mkuu baada ya kumtimua aliyekuwa kocha wake, Tom Saintfiet.
Taarifa zilizopatikana mapema leo leo asubuhi inasema kuwa, Mwalusako atakaimu nafasi ya ukatibu Mkuu iliyokuwa ikishikiliwa na Celestine Mwesigwe,huku Sekilojo Chambua akiteuliwa kuwa meneja wa timu na mtangazaji wa Cloud's, Abdul Mohammed akimrithi Louis Sendeu aliyekuwa amemaliza mkataba wa kuwa Afisa Habari wa Yanga.
Kutokana na mabadiliko hayo leo Yanga itashuka dimba la Taifa kuvaana na JKT Ruvu ikiwa chini ya safu mpya ya benchi lake la ufundi, Minziro akiongoza kama kaimu kocha Mkuu.
Fred Felix Minziro
Yanga haijashinda mechi zake mbili za awali ikianza na suluhu dhidi ya Prisons ya Mbeya kabla ya kubamizwa mabao 3-0 na Mtibwa Sugar.
Posted by Unknown at 12:49 PM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

  MECHI ZA ‘LIVE’ SUPER SPORTS LIGI KUU TANZANIA BARA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Septemba 21, 2012

MUDA WA MECHI ZA ‘LIVE’ SUPER WEEKEND
Mechi tano za Ligi Kuu ya Vodacom za Super Weekend katika mzunguko wa kwanza zitakazooneshwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha Super Sport zitaanza kati ya saa 1-.30 jioni na saa 1 kamili usiku.

Septemba 28 mwaka huu kutakuwa na mechi kati ya Azam na JKT Ruvu itakayofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 1 kamili usiku. Mechi ya Simba na Tanzania Prisons itakayochezwa Septemba 29 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam itaanza saa 11 kamili jioni.

Yanga na African Lyon zenyewe zitapambana Septemba 30 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 11 kamili jioni wakati Ruvu Shooting na Mtibwa Sugar zitaoneshana kazi Oktoba 1 mwaka huu Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam kuanzia saa 10.30 jioni.

Mechi ya mwisho katika Super Weekend itakuwa Oktoba 3 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ikiwakutanisha watani wa jadi Yanga na Simba, na itaanza kutimua vumbi saa 1 kamili usiku.

TWFA YATANGAZA KAMATI YA UCHAGUZI
Chama cha Mpira wa Miguu wa Wanawake Tanzania (TWFA) kimetangaza Kamati ya Uchaguzi yenye wajumbe watano kwa ajili ya uchaguzi wake unaotarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu.

Kaimu Mwenyekiti wa TWFA, Margreth Mtaki amewaambia Waandishi wa Habari, Dar es Salaam leo kuwa kamati hiyo itaongozwa na Ombeni Zavala, na itarajia kutangaza mchakato wa uchaguzi huo Jumatatu (Septemba 24 mwaka huu).

Aliwataja wajumbe wengine wa kamati hiyo yenye jukumu la kuendesha uchaguzi wa chama hicho kuwa ni Rachel Masamu, Lloyd Nchunga, Nancy Mabula na Maneno Tamba.

Pia aliwataka wadau wa mpira wa miguu wa wanawake kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika TWFA mara Kamati ya Uchaguzi itakapoanza mchakato.

Wakati huo huo, uchaguzi wa vyama vya mpira wa miguu vya mikoa ya Kilimanjaro (KRFA) na Manyara (MARFA) unafanyika kesho (Septemba 22 mwaka huu).


Boniface Wambura
Ofisa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Posted by Unknown at 11:00 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

Mpasuko wa kisiasa waibuka tena Zanzibar


Na Mwinyi Sadallah, Zanzibar

 CHAMA cha Wananchi CUF kimesema kimegundua kuna viongozi wa SMZ  hawataki maridhiano yaliyozaa serikali ya Umoja wa Kitaifa, Novemba mwaka 2010.

Tamko hilo limetolewa na Mkurugenzi wa habari, Uenezi na mawasiliano ya umma wa CUF jana Salim Bimani Abdalla, kufuatia vurugu zilizotokea katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Bububu Septemba 16 mwaka huu.

Alisema kwamba chama hicho tayari kimewafahamu baadhi ya Viongozi kutoka CCM wanaopinga serikali ya Umoja wa kitaifa na tayari wanajitayarisha kuwashitakia kwa wananchi kupitia vyombo vya kutunga sheria Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW) na Bungeni.

Alisema kwamba hatua hiyo itasadia wananchi kuwatambua viongozi wenye kinyongo na mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar ambayo yaliruhusu mfumo wa mpya wa serikali  ya pamoja.

“Kuna Viongozi  wa Serikali hawataki maridhiano yalioleta serikali ya Umoja wa kitaifa Zanzibar tumewafahamu kupitia uchaguzi wa Bububu,”alisema Bimani.

Alieleza  kwamba vurugu za askari wa Vikosi kutumia nguvu kubwa ikiwemo kutisha watu kwa risasi za moto ni ushaidi wa kuwepo kuwepo viongozi ambao hawataki kubadilika na kumaliza siasa za uhasama visiwani humo.

Alisema kwamba hakutegemea vikosi vya SMZ  kutumia nguvu kubwa ikiwemo kutumia risasi za moto kupiga hewani wakati Vikosi hivyo vipo chini ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais (IKULU).

Aidha alisema kwamba katika kampeni za uchaguzi huo kuna viongozi wa CCM walitumia majukwaa vibaya ikiwemo kutoa lugha za matusi dhidi ya viongozi wa CUF wanaoshiriki kuunda serikali ya Umoja wa kitaifa.

Akizungumzia tuhuma hizo Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali Vuai alisema tuhuma za CUF hazina msingi wowote na zimelenga kuficha ukweli na kuwadaganya wananchi.

Alisema kwamba chimbuko la vurugu katika uchaguzi huo limetokana na Viongozi wa CUF kupeleka  Vijana  3000 usiku wa kuamkia uchaguzi na kuwapa kazi ya kutisha watu ikiwemo kuhakiki wapiga kura waliokuwa wanajitokeza wakiwa katika magari kinyume na sheria ya uchaguzi.

Vuai alisema kwamba vijana  wa CUF walikuwa wakizuia watu kwenda kupiga kura hasa wafuasi wa CCM na kutoa vitisho kabla ya askari kuamua kuwatawanya katika maeneo ya vituo vya wapiga kura.

Vuai alisema kwamba wangalizi wa uchaguzi kutoka  CUF wakiwemo mawaziri baadhi yao walifanya kazi  kukagua kadi za  wapiga kura wakati sio majukumu yao.



Alisema kwamba sheria za uchaguzi zilianza kuvunjwa mapema na baadhi ya Mawaziri wa CUF kutokana na kutumia magari ya umma wakati wa kampeni na uchaguzi kinyume na sheria na misingi ya Utawala bora.

Alisema kwamba CCM ilitarajia kuwa CUF watafanya kampeni za kistarabu baada ya kumaliza tofauti za kisiasa tangu kuuda serikali ya pamoja, lakini wameshindwa kubadilika na kuendeleza siasa za chuki na uhasama kinyume na mataraji ya wananchi.

Vuai alisema kwamba katika uchaguzi huo watu wenye asili ya Pemba awakuhojiwa uhalali  wa kupiga kura tofauti na watu wenye asili ya  Bambi, Makunduchi au  Donge katika uchaguzi huo.

Vuai alisema akiwa kama  muasisi wa muafaka kutoka CCM anajuta kwa kupoteza muda kutafuta amani ya Zanzibar baada ya kuibuka wanasiasa wanaorudisha siasa za chuki na ubaguzi na kuvuruga amani na Umoja wa kitaifa.

Alisema kwamba CUF imeshindwa kufanya siasa za kistarabu ikiwemo kukemea vitendo vya kuhatarisha amani na umoja wa kitaifa vinavyoofanywa na Jumuiya ya Uamsho na mihadhara Zanzibar. (JUMIKI).

Alisema Uamsho wamekuwa wakitoa lugha chafu dhidi ya Viongozi wa Kitaifa  na waasisi wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

“Najuta kupoteza muda wangu kutafuta muafaka wa amani ya Zanzibar wakati wezetu awataki kuacha siasa za chuki na uhasama,’alisema Vuai ambaye alikuwa Mjumbe wa kamati ya Muafaka.

Alisema kwamba akukuwa na sababu za msingi kwa viongozi wa CUF kuhakiki kadi za wapiga kura katika vituo wakati ndani ya chumba cha wapiga kura kuna mawakala wa vyama na orodha ya majina ya wapiga kura yakiwa na majina na picha za wahusika.

Katika uchaguzi huo mgombea wa CCM Hussen Ibrahim Makungu aliebuka mshindi kwa kumtagulia mgombea wa CUF Issa Khamis issa ambaye amegoma kusaini matokeo na kutangaza kupiga matokeo mahakama Kuu ya Zanzibar.

Mwisho


Posted by Unknown at 10:59 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

WAISLAM WAWAZIDI KETE POLISI WAANDAAMANA NA KUFANYA KONGAMANO DAR LICHA YA KUPIGWA MKWARA

JUMUIA NA TAASISI ZA KIISLAM TANZANIA WAKIWA KATIKA MAANDAMANO YA KUTOA TAMKO LA WAISLAM NCHINI DHIDI YA MAREKANI KURUHUSU KUTOLEWA FILAMU INAYOUKASHIFU MTUME MUHAMAD

JUMUIA NA TAASISI ZA KIISLAM TANZANIA WAKIWA KATIKA MAANDAMANO YA KUTOA TAMKO LA WAISLAM NCHINI DHIDI YA MAREKANI KURUHUSU KUTOLEWA FILAM INAYOUKASHIFU MTUME MUHAMMADI SAW

JUMUIA NA TAASISI ZA KIISLAM TANZANIA WAKIWA KATIKA MAANDAMANO YA KUTOA TAMKO LA WAISLAM NCHINI DHIDI YA MAREKANI KURUHUSU KUTOLEWA FILAM INAYOUKASHIFU MTUME MUHAMAD

waumini wa kiislam wakiwa katika kongamnao lao la kulaani Marekani kwa kuruhusu kutengenzwa kwa Filamu inayomkashfu Mtume Muhammad 'SAW' jana kwenye viwanja vya Kidongo Chekundu, jijini Dar es Salaam

Umma wa Kiislam ukiwa kwenye kongamano lao lililofanyika jana jijini Dar

Umma wa Mtume Muhammad SAW, ukiwa kwenye kongamano lao la kulaani utengenezwaji wa filamu ya kumkshfu Mtume Muhammad SAW.
CHANZO:MZUKA WA FUNGO
Posted by Unknown at 10:59 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

IBF YAWATEUA MAKAMU WANNE WA RAIS KATIKA BARA LA AFRIKA, GHUBA ZA UARABU NA UAJEMI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
TAREHE 20/09/2012


Shirikisho la Ngumi la Kimataifa IBF limepanua wigo wake wa kusimamia na kuratibu ngumi katiuka bara lka Afrika, Mashariki ya kati, Ghuba ya Urarabu na Ghuba ya Uajemi. Katika miaka ya karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la vijana wengi kujiunga na ngumi na hivyo wengi kuhitaji huduma za shirikisho la IBF.
 
Ili kujiweka vizuri katika nafasi ya kutoa huduma nzuri inayotakikana, IBF imewateua Makamu wanne wa rais watakaomsaidia Raia wa Shirikisho hili Bwana Onesmo Ngowi.

Uteuzi huu umefuata mambo yafuatayo: Upendo wa wahusika wenyewe kwa mchezo wa ngumi, nafasi aliyonayo kwenye jamii, ukaribu wake na vijana, uwezo wake kielimu na michango yake kwa michezo.

Wafuatao wameteuliwa kuwa makamu wa Rais kuanzia mwisho wa mwezi huu:

Ayman Saad Bait-Saleem (Oman);

Makamu wa Rais,  Fedha
Ayman ni mhandisi mwenye shahada ya uzamili kutoka katika chuo kikuu cha Karolina ya Kusini (University of South Carolina, Colombia South Carolina, USA.) mwa nchi ya Marekani. Amefanya kazi kama Meneja Mkuu wa bandari ya Sultan Qaboos kwa miaka mingi, Meneja wa kampuni ya APL Moller Group ya Denmark nchini Oman, Kampuni ya Marekani ya ushauri wa Kihandisi na nyingine nyingi. Kwa sasa Ayman ni mfanyabishara mwenye kampuni nyingi nchini Oman mojawapo ikiwa ni AL SWAYNI SPORT SERVICES katika jiji la Muscat, Oman

William Steven Kallaghe

Makamu wa Rais, Utawala na Masoko
William ni msomi aliyebobea katika masuala ya Uchumi na Utawala na alisoma katika chuo kikuu cha Budapest, Hungary. Ana uzoefu mkubwa kwenye masuala ya uchumi na masoko na amefanya kazi na makampuni kadhaa kama Mkurugenzi Mkuu wa benki ya kiislamu ya NBC, Meneja Miradi wa benki ya CRDB, Meneja wa Masoko wa Kanda wa kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kabla ya kuhamishia ujuzi wake kama Mkurugenzi wa Masoko wa Benki ya NBC.

Henry Mann-Spain (Ghana)

Makamu wa Rais, Operations
Henry ni mfanyabishara aliyeboboea kwenye biashara mbalimbali na analimiki makampuni makubwa ya kutengeneza bidhaa za kilimo kama nguo na vyakula vya kugandishwa (Frozen Food).
Ana Shahada ya Uzamili wa Biashara (MBA) kutoka katika Chuo Kikuu cha Harvard kilichopo katika jimbo la Massachusetts nchini Marekani. Henry amefanya kazi kwa miaka mingi na mashirika ya kimataifa yakiwamo UNHCR, ILO na UNDP.
Kwa sasa ni Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Golden Crescent Ltd yanayojishughulisha na kutengeneza bidhaa kutoka kwenye mazao ya mifugo na kilimo nchini Ghana na kuyauza nchi za Ulaya, Marekani na Asia.


Louaa Debes (Misri)

Makamu wa Rais, Ubingwa na Viwango
Louaa ni mfanya biashara anayeishi katika jiji la cairo nchini Misri na ana uzoefu nkubwa kweney masuala ya biashara za kutengeneza nguo.
Louaa Debes amesoma biashara kwenye Chuo Kikuu cha Cairo na amefanya kazi na taasisi za serikali kabla ya kuanzisha shughuli za biashara. Debes anamiliki makampouni ya ulinzi, maduka makubwa (Super markets) pamoja na kamouni ya ukodishaji wa magari.

Imetolewa na:
Onesmo A.M. Ngowi

Rais
IBF katuka bara la Afrika, Mashariki ya Kati, Ghuba ya Uarabu na Uajemi.
(IBF President for Africa, Middle East, Arabian and Persian Gulfs)
Posted by Unknown at 10:41 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

KOCHA TOM SAINTFIET ATIMULIWA YANGA BAADA YA SIKU 80 NCHINI

Kocha wa Yanga, Tom Saintfiet siku alipowasili jijini Dar es Salaam Jumatano Julai 4, 2012 na kupokewa kwa mbwembwe.

YANGA imemtimua kocha wake Mbelgiji Tom Saintfiet baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa siku 80 kamili.

Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu ya Yanga, Abdallah Ahmad Bin Kleb, amethibitisha kufukuzwa kwa Mbelgiji huyo ambaye ameiongoza Yanga katika mechi 14, kushinda 11, vipigo viwili na sare 1.

Saintfiet aliyetua nchini Jumatano, Julai 4, 2012, amefukuzwa siku moja tu baada ya kuwatuhumu wachezaji kuwa "masharobaro" kama moja ya sababu za mwanzo mbaya wa msimu kwa timu hiyo ambayo inashika nafasi ya 13 katika msimamo wa timu 14 za Ligi Kuu ya Tanzania Bara ikiwa na pointi 1 kutokana na mechi mbili - sare ya 0-0 dhidi ya Prisons Jumamosi na kipigo cha aibu ambacho hakikutarajiwa cha 3-0 ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro.

Kabla ya kuwatuhumu wachezaji kwa kujiona mastaa wakubwa na kubadili mitindo ya nywele kila baada ya siku tatu ili kupamba kurasa za magazeti, Mbelgiji huyo alianika jinsi walivyolazwa wawili wawili mjini Mbeya wakati walipoenda kucheza dhidi ya Prisons katika mechi ya ufunguzi wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara.

Alilalamikia wachezaji kucheleweshewa chakula na wenye hoteli na kwamba alilazimika kuoga kwa kutumia kopo kutokana na mabomba ya 'mvua' ya kutotoa maji.



Hivi karibuni, Saintfiet alilalamikia kutolipwa mshahara wake wa miezi miwili, kutofurahishwa kwake na maisha ya kukaa hotelini badala ya kutafutiwa nyumba na pia kutopewa gari binafsi ya kutembelea na badala ya kuendeshwa kwenye "kipanya" cha klabu hiyo ambapo yeye amekuwa akikaa siti ya mbele.

Kipigo cha Mtibwa kimethibitisha kuichanganya timu hiyo ambayo mapema leo uongozi wake ulitangaza kuisimamisha kazi Sekretarieti nzima ya klabu, akiwamo Katibu Celestine Mwesigwa na Ofisa Habari, Louis Sendeu, "kutokana na utendaji usioridhisha".

Akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya klabu Jangwani jijini Dar es Salaam, Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga alisema kwamba maamuzi hayo yamefuatia kikao cha Kamati ya Utendaji kilichofanyika tangu saa 5:30 leo hadi saa 9:30.

Wengine waliosimamishwa ni Philip Chifuka aliyekuwa mhasibu, Masoud Saad, aliyekuwa Ofisa Utawala na Hafidh Saleh aliyekuwa Meneja ambaye atapewa majukumu mengine. Taarifa nyingine zimedai kuwa nyota wa zamani wa klabu hiyo Sekilojo Chambua anatarajiwa kutangazwa meneja mpya.

Sanga alisema watamtangaza meneja mwingine katika kikao kitakachofanyika klabuni hapo kesho saa 3:00 asubuhi. 

Saintfiet ambaye pia alipewa onyo na uongozi kwa "kuongea ovyo na vyombo vya habari", aliiwezesha Yanga kutwaa ubingwa wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati maarufu Kombe la Kagame kwa mara yao ya pili mfululizo baada ya kuifundisha timu hiyo kwa kipindi cha chini ya wiki tatu.  


REKODI YA SAINTFIET YANGA
1. Yanga v JKT Ruvu             (kirafiki)                2-0
2. Yanga v Atletico (Burundi, Kagame)               0-2
3. Yanga v Waw Salam (Sudan, Kagame)          7-1
4. Yanga v APR (Rwanda, Kagame)                   2-0
5. Yanga v Mafunzo (Z’bar, Kagame)                 1-1 (5-3 penalti)
6. Yanga v APR (Rwanda, Kagame)                   1-0
7. Yanga v Azam (Kagame)                                2-0
8. Yanga v African Lyon (kirafiki)                        4-0
9. Rayon v Yanga (kirafiki, Rwanda)                   0-2
10. Polisi v Yanga (kirafiki, Rwanda)                  1-2
11. Yanga v Coastal Union    (kirafiki)                 2-1
12. Yanga v Moro United      (kirafiki)                  4-0
13. Prisons v Yanga  (Ligi Kuu)                          0-0
14. Mtibwa v Yanga (Ligi Kuu)                           0-3


Chanzo:Straikamkali
Posted by Unknown at 10:37 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

Friday, September 21, 2012

Mashali kuwania taji dhidi ya Mganda

Thomas Mashali
Med Sebyala


BONDIA wa Ngumi za kulipwa nchini Thomas Mashali, amesaini mkataba wa kucheza pambano la ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati na Mganda Medi Sebyala, mchezo utakaofanyika Oktoba 14 mwaka huu katika Ukumbi wa friends Corner.

Akizungumza na waandishi wa habari Mratibu wa mpambano huo unaosimamiwa na Shirikisho la Ngumi za kulipwa TPBO Regina Gwae amesema leo kwamba mpambano huo ni maandalizi ya kuhakikisha bondia Thomas mashali sasa anavuka mipaka ya Tanzania baada ya kufanya vyema nchini.

“huwezi kwenda nje kama ndani hufanyi vizuri na huwezi kwenda ulaya Afrika mashariki ukaikimbia hivyo tumeona tumpe mchezo Afika mashjariki ili akifanya vyema aweze kuvuka mipaka hiyo sasa, alisema Regina.

Amesema kwa upandewa mazungumzo na Bondia Medi Sebyala yamekamilika na tayari ameshatumiwa Mkataba wake kwa ajili ya pambano hilo.

“ pamabano hilo litakuwa na raundi 10 na watacheza katika uzito wa kilo 72 na kama tujuavyo ukizungumzia mabondia wa uzito wa kati wanaotamba nchini na afrika mashariki kwa ujumla huwezi kuacha kuwataja mashali na sebyala,alisema regina.

Regina amesema tunataraji mpambano utakuwa mzuri wenye kuvutia kwa kuwa Mashali ni bondia mzuri na Sebyala nae ni Bondia Mzuri aliyeweka historia ya kuwasumbua mabondia Fransis Cheka wa Morogoro na rashidi Matumla kwa nyakati Tofauti.

Pia amewaomba wafadhili kujitokeza kudhamini mchezo huo unatarajiwa kuwa na mapambanio yaq utangulizi yenye kuvutia ambapo mabondia wake waktatangazwa baadae watakaosindikiza mpambano huo.
Posted by Unknown at 5:35 PM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

TOFAUTI YA KATI YA MABASI YA SIMBA  YANGA NA LA GOR MAHIA

 yasemekana hili ni basi lililo nunuliwa na mashabiki wa Gor Mahia kwa ajili ya timu yao
 
 
 Mabasi ya Simba na yanga - PICHA KWA HISANI YA http://moronew.blogspot.com
Posted by Unknown at 5:00 PM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

TBL YAKABIDHI MABASI YA KISASA KWA SIMBA NA YANGA


 Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage akicheza sambamba na mashabiki wa timu hiyo wakionesha furaha yako baada ya Kampuni ya Bia Tanzania TBL kuvikabidhi klabu za Simba na Yanga mabasi mapya katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
 Mkurugenzi Mkuu wa TBL, Robin Goetzsche  kulia akimkabidhi mfano wa ufunguo, Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga wakati wa hafla ya kukabidhi basi jipya kwa klabu hiyo. TBL ndio mdhamini Mkuu wa klabu za Simba na Yanga.
 Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage akipokea mfano wa ufunguo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa TBL, Robin Goetzsche kama ishara ya makabidhiano ya basi jipya lililotolewa na kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo
 Viongozi wa Simba na Yanga wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maofisa wa TBL
Mkuu wa Usambazaji wa TBL, James Bokella akionesha ishara ya kuanza rasmi kwa msafara wa kuyatembeza magari ya Simbana Yanga katika mitaaya jiji la Dar es Salaam ili mashabiki wa timu hizo wayaone.
Posted by Unknown at 4:34 PM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Aliyedai Asizikwe Atafufuka Baada ya Siku Mbili Asababisha Balaa

NewsImages/6601474.jpg
Tuesday, September 18, 2012 4:25 AM
Mwanaume mmoja wa nchini Afrika Kusini ambaye alidai enzi za uhai wake kuwa atakapofariki asizikwe kwakuwa atafufuka baada ya siku mbili ameshindwa kufufuka baada ya kifo chake na maiti yake imekuwa kero kwa watu kutokana na harufu kali inayotoa.
Mwanaume huyo aliyekuwa mkazi wa Tsolo, Eastern Cape nchini Afrika Kusini aliwaagiza ndugu zake wakati wa uhai wake kuwa atakapofariki basi mwili wake usipelekwe monchwari kwakuwa atafufuka baada ya siku mbili.

Mwanaume huyo alifariki jumanne ya wiki iliyopita na ndugu zake walifuata maagizo yake kwa kuuweka mwili wake nyumbani kwake wakimsubiria arudi toka kuzimu akiwa hai tena.

Familia yake iliendelea kuutunza mwili wake huku wanajumuiya wa kanisa lake wakija kumuombea dua.

Baada ya siku mbili kupita ambazo alidai angefufuka maiti yake ilianza kuharibika na kutoa harufu kali iliyoanza kuwa kero kwa majirani.

Msemaji wa eneo hilo aliyetambulishwa kama Sizwe Kupelo aliwaambia waandishi wa habari kuwa majirani wameanza kulalamika harufu kali inayotoka kwenye nyumba yake.

"Limekuwa tatizo la kiafya sasa, watu wanaohofia kupata maambukizi", alisema Kupelo.

Timu ya maafisa wa afya na mapolisi walitarajiwa kuitembelea familia hiyo na kuishawishi iachane na mawazo ya kusubiria kufufuka kwa ndugu yao na hatimaye wauzike mwili wake kama inavyotakikana.


Nifahamishe.com    
Posted by Unknown at 8:49 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

Kocha Yanga akiri kuzidiwa ujanja na Mtibwa alaumu wachezaji wake

Kocha Tom Saintfiet akiwa haamini kama jahazi la timu yake limezana uwanja wa Jamhuri, walipokandikwa mabao 3-0 na Mtibwa Sugar

KOCHA wa klabu ya Yanga, Tom Saintfiet, amekiri timu yake ilizidiwa maarifa na Mtibwa Sugar na kulazwa mabao 3-0, akidai hakuna cha kusingizia kwa kipigo hicho.
Akihojiwa na kituo kimoja cha redio, Mbelgiji huyo alisema tofauti na utetezi wake katika mechi iliyopita waliotoka sare ya 0-0 na Prisons Mbeya, kipigo cha Mtibwa kilikuwa halali kwa sababu kila kitu kwao kilikuwa vema.
Saintfiet, alisema hawezi kusema uwanja wa Jamhuri ulikuwa mbaya, ama chakula au hoteli waliyolala kama ilivyokuwa mjini Mbeya, zaidi ya kuwashutumu wachezaji wake kwamba hawakuwa makini uwanjani kutumia nafasi walizopata.
"Mtibwa walipata nafasi nne na kuzitumia vema tatu kwa kufunga mabao matatu, wakati sisi tulipata karibu nafasi nane na hata moja hatukutumia," alisema.
Aliongeza amegundua kinachowaathiri wachezaji wake ni kulewa sifa za magazetini na hivyo kuishia kushindana kubadilisha mitindo ya nywele na viatu badala ya kushindana uwanjani kuisaidia timu.
"Wamelewa sifa, walisifiwa kwenye michuano ya Kagame na wamejisahau wao kila siku wamekuwa wakishindana kubadilisha mitindo ya nywele na viatu, watambue wakati mwingine wanapaswa kufanya nini uwanjani," alisema.
Alidai lau kama yeye (Saintfiet) na msaidizi wake, Fred Felix Minziro wangeingia uwanjani wangeweza kufunga mabao kwa nafasi walizokuwa wamezitengeza.
Yanga ilikumbana na kipigo hicho cha 3-0 toka kwa Mtibwa katika mechi ambayo Hamis Kiiza alikosa penati dakika lala salama, na kuicha ikisaliwa na pointi moja tu.
Timu hiyo kesho inatarajiwa kushuka dimbani kuumana na JKT Ruvu katika mechi nyingine ngumu, ingawa Saintfeit amedai amezungumza na wachezaji na kuahidi kurekebisha makosa kwa kuipa timu ushindi hili mambo yasiendelee kuwa mabaya.
Posted by Unknown at 8:45 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

  WILSHERE, FRIMPONG WAPONA WAJIFUA NA WENZAO

Jack Wilshere
Emmanuel Frimpong
LONDON, England
Kiungo wa Arsenal, Jack Wilshere amerudi kikosini na kujifua na wenzake katika muda wote wa mazoezi leo baada ya kuwa nje kwa miezi 14 kutokana na jeraha la muda mrefu la 'enka'.

Kiungo huyo mwenye miaka 20 alikuwamo katika kikosi cha kwanza cha Arsenal na kuitwa pia katika kikosi cha timu ya taifa ya England kabla ya kuondolewa baadaye.

"Tumefurahi sana, Jack amerudi kamili mazoezini. Amekuwa nje kwa miezi 14 na hicho ni kipindi kirefu kwa mtu wa umri wake. Ni habari njema," kocha Arsene Wenger ameiambia tovuti ya klabu yake (www.arsenal.com).

Kiungo mwenzake Emmanuel Frimpong pia amerudi mazoezini baada ya kuumia goti Februari wakati akichezea Wolverhampton Wanderers kwa mkopo.

Wote, Wilshere na Frimpong watakabiliwa na kazi ngumu ya kurejea katika kikosi cha kwanza baada ya  Wenger kumleta kiungo wa timu ya taifa ya Hispania, Santi Cazorla na Arsenal kuanza vizuri msimu huu wa Ligi Kuu ya England, wakishika nafasi ya tatu baada ya mechi nne.
Posted by Unknown at 8:33 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

AIRTEL YAKABIDHI T-SHIRT 400 NA MILIONI TANO KWA AJILI YA MASHINDANO YA RIADHA YA ROCK CITY


Ofisa Uhusiano wa kampuni ya Airtel Tanzania, Bi Jane Matinde (kulia) akimkabidhi moja kati ya T-shirt mia nne Meneja Matukio wa kampuni ya Capital Plus International ambaye pia ni Mratibu wa mbio za Rock City Marathon za mwaka huu, Bi Grace Sanga jijini Dar es Salaam jana kama sehemu ya udhamini wa mbio hizo zitakazofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza tarehe 28 Oktoba. Airtel walikabidhi T-shirt mia nne pamoja na milioni tano kusaidia mbio hizo.


Ofisa Uhusiano wa kampuni ya Airtel Tanzania, Bi Jane Matinde (kulia) akimkabidhi moja kati ya T-shirt mia nne Meneja Matukio wa kampuni ya Capital Plus International ambaye pia ni Mratibu wa mbio za Rock City Marathon za mwaka huu, Bi Grace Sanga jijini Dar es Salaam jana kama sehemu ya udhamini wa mbio hizo zitakazofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza tarehe 28 Oktoba. Airtel walikabidhi T-shirt mia nne pamoja na milioni tano kusaidia mbio hizo.
Ofisa Uhusiano wa kampuni ya Airtel Tanzania, Bi Jane Matinde (kulia) akimkabidhi hundi ya shilingi milioni tano Meneja Matukio wa kampuni ya Capital Plus International ambaye pia ni Mratibu wa mbio za Rock City Marathon za mwaka huu, Bi Grace Sanga jijini Dar es Salaam jana kama sehemu ya udhamini wa mbio hizo zitakazofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza tarehe 28 Oktoba. Airtel pia walikabidhi T-shirt mia nne zitakazotumika katika mbio hizo.

AIRTEL yaahidi kuendelea kusaidia maendeleo ya michezo nchini

KAMPUNI ya mawasiliano nchini ya Airtel imeahidi kuendelea kusaidia michezo mbalimbali nchini ikiwa na lengo la kukuza maendeleo ya vijana.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana katika hafla fupi ya kukabidhi shilingi milioni tano pamoja na T-shirt mia nne kama udhamini wa mbio za Rock City Marathon za mwaka huu zenye kauli mbiu ‘tukuze utalii wa ndani kupitia michezo’, Afisa Uhusiano wa Airtel, Bi Jane Matinde alisema kuwa kampuni yake itaendelea kusaidia michezo mbalimbali nchini ikiwemo riadha ili kukuza maendeleo ya vijana.
“Udhamini wetu wa shilingi milioni tano pamoja na T-shirt mia nne katika mbio za Rock City mwaka huu unalenga katika kusukuma maendeleo ya vijana kupitia michezo kwa kuwa tunaamini kuwa michezo imekuwa ni chanzo kikubwa cha ajira duniani.
“Tunaahidi kuendelea kusaidia michezo mingine kwa kuwa pia tunaamini kupitia michezo mbalimbali tunaweza kutangaza vivutio vyetu vya utalii duniani. Mfano nzuri ni mbio za mwaka huu za Rock City Marathon zitakazowakutanisha wanariadha mbalimbali kutoka nchi jirani,” aliongeza Bi. Matinde.
Akipokea hundi na T-shirt hizo, Mratibu wa mbio hizo kutoka katika kampuni ya Capital Plus International (CPI), Bi. Grace Sanga aliishukuru kampuni ya Airtel kwa kuendelea kusaidia mbio za Rock City na kuyahasa mashirikia na makampuni mengine kuiga mfano wa kampuni hiyo.
“Tunaishukuru Airtel kwa msaada wao kwa kuwa msaada huu utatusaidia tujiandae vizuri na Rock City Marathon ya mwaka huu itakayofanyika Oktoba tarehe 28 katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza,” alisema Grace.
Grace alisema kuwa mbali na Airtel wadhamini wengine ni pamoja na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Parastal Pension Fund (PPF), Geita Gold Mine, African Barrick Gold, Air Tanzania Company Ltd (ATCL), Mamlaka ya Taifa ya Mbuga za Wanyama nchini (TANAPA), Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Nyanza Bottles, New Africa Hotel na New Mwanza Hotel.
Aidha, Bi Sanga aliwaasa wanariadha kujitokeza na kuanza kujisajili ili kushiriki katika mbio hizo na kusema kuwa fomu za usajili zinapatikana katika ofisi za uwanja wa CCM Kirumba, ofisi za kampuni ya Capital Plus International zilizopo katika jengo la ATCL ghorofa ya tatu, ofisi za Bodi ya Utalii jengo la IPS ghorofa ya tatu, Dar es Salaam, na zinapatikana katika tovuti ya www.rockcitymarathon.blogspot.com.
CPI ilitangaza kuwa atakayeibuka kinara katika mbio za kilometa 21 mwaka huu kwa wanaume na wanawake atazawadiwa shilingi milioni moja na laki mbili wakati mshindi wa pili ataweka mfukoni shilingi laki tisa na mshindi wa tatu ataondoka na shilingi laki saba.
Posted by Unknown at 8:25 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

FLAVIANA MATATA OPENS UP ABOUT HER LIFE & FASHION ON BBC AFRICA'S PROGRAMMES DIRA YA DUNIA & FOCUS ON AFRICA



The supermodel and former Miss Universe Tanzania (2007), Flaviana Matata, was in the UK for the London Fashion Week.
She spoke to the BBC a few hours before returning to New York where she is based when not working in Europe, Africa or other parts of the world. Here she is being interviewed for BBC Africa’s news and current affairs TV programme in Kiswahili, Dira ya Dunia.
 She was also interviewed for BBC's Focus on Africa radio programme. Listen to the interview at 1500 GMT. It will also appear on our podcast.
 Flaviana posing with BBC Africa's very fashionable presenter Kassim Kayira
 Flaviana with Jestina George of www.jestina-george.com (a blogger based in London) at the BBC studios in London
For the interview Flaviana rocked  a leather jacket from Zara, Dress from Mango, Gucci sunglasses & gorgeous shoes from McQueen.
---
Tanzania's supermodel Flaviana Matata has had a very busy schedule and to be precise she's been busy on the runway between New York  & London. 

At the moment Flaviana is in the UK where she has just taken part in London Fashion Week.
Earlier today Flaviana visited the BBC  Africa studios in London where she was interviewed for BBC Africa’s news and current affairs TV programme in Kiswahili, Dira ya Dunia  &  for Focus on Africa.

The former winner of Tanzania's first Miss Universe pageant, in 2007, started by telling how she got into the fashion industry and later dished out on the latest tips on what is fashionable these days.



Below is the link where you can listen to the Focus on Africa interview. It is also being currently promoted on the BBC’s Entertainment & Arts pages. 
http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-19667015
 For more African news from the BBC download the Africa Today podcast.

 Photo credit: Manuel Toledo, BBC Africa
Posted by Unknown at 8:24 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

DIAMOND KUPATA WENYE VIPAJI KESHO



Na Elizabeth John
MSANII wa Kimataifa wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amesema amedhamiria kutoa ajira kwa vijana wa Kitanzania kupitia muziki wengi wenye vipaji mitaani na kwenye sekta nyingine, wasiojua wafanyeje kufikia ndoto zao, hivyo kuhitaji kushikwa mkono na wengine.
Akizungumza na Habari Mseto, Diamond alisema tatizo kubwa ni jamii kuchukulia masuala ya mitindo na muziki kama uhuni na kuuza sura yaani kupata umaarufu tu kwenye televisheni na vyombo vingine vya habari, akisema kuna haja ya kuifanya jamii kuachana na fikra hizo.
“Mimi nitawalipa wote watakaonekana kwenye video yangu, tutakapofanya usaili kesho wale watakaochanguliwa watalipwa, lakini pia hii inaweza kuwa ni kufunguliwa milango kwenye sekta nyingine.

Najua wapo wanaoweza ‘kufit’ kwenye matangazo ya biashara, pia watapata fursa hiyo,” alisema Diamond.
Kuhusu majaji katika mchujo huo utakaofanyika Nyumbani Lounge kuanzia saa 5 asubuhi, aliwataja kuwa ni Raqey Mohammed wa I-View Studios watakaofanya kazi za matangazo, Ally Rehmtulah ambaye ni Mbunifu na Sammy Cool, mcheza dansi na mwalimu.
Kwa mujibu wa Diamond, jaji mwingine ni Missie Popular ambaye ni mwandishi na mwanamitindo anayejua wapi kwa kuwafikisha watu wengine kama alivyofanikiwa yeye kupitia muziki.
Posted by Unknown at 8:23 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

ZAWADI SAFARI POOL TAIFA 2012 ZATANGAZWA



Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo akizungumza na waandishi wa habari
Na Elizabeth John
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager, leo imetangaza zawadi za washindi wa mashindano ya Safari Pool Taifa yanayotarajiwa kufanyika Septemba 26 hadi 29, mwaka huu jijini Mwanza kwa kushirikisha mabingwa wa klabu kutoka mikoa 16 ya Tanzania.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo alisema zawadi kwa bingwa wa fainali za Safari Pool Taifa 2012 ni pesa taslimu shilingi milioni tano, Kombe na Medali za dhahabu kwa washindi wa upande wa timu.
Shelukindo alisema kuwa, zawadi za washindi wa pili itakuwa ni shilingi 2,500,000, huku washindi wa tatu wakiondoka na kitita cha shilingi 1,250,000, ambapo washindi wa nne watajinyakulia shilingi 750,000.
Alisema kwa upande wa mchezaji mmoja mmoja, mshindi kwa wanaume atajinyakulia kiasi cha shilingi 500,000, huku bingwa wa wanawake akinyakua shilingi 350,000 na mshindi wa pili wanaume atapata shilingi 250,000.
Mshindi wa pili kwa wanawake, ataondoka na shilingi 200,000 na mshindi wa tatu kwa wanaume atapata shilingi 200,000, huku mshindi wa nafasi hiyo kwa wanawake akiondoka na kitita cha shilingi 150,000.
Katibu wa Chama cha Pool Taifa (TAPA), Amos Kafwinga, alizitaja klabu zilizofuzu kushiriki fainali za Taifa jijini Mwanza kuwa ni Balele ya Tanga, Mbosho ya Kilimanjaro,  2 Eyes ya Arusha, Janja Wild ya Manyara, Sabasaba ya Lindi na Texas ya Tabora.
Nyingine ni New Stand ya Shinyanga, Anatory ya Morogoro, Atlantic ya Dodoma, Nginja ya Iringa, Blue House ya Mbeya, Sun City ya Temeke, Kayumba ya Ilala, Meeda kutoka Kinondoni, huku wenyeji wa mashindano hayo Mwanza wakitarajiwa kuwakilishwa na klabu ya Paseansi.
Posted by Unknown at 8:23 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

RUFAA YA LEMA YAHAIRISHWA HADI OCTOBER 2

 Msafara wa aliekuwa mmbunge wa jimbo la Arusha mjii ukitokea mahakamani kuelekea katika ofisi za chama
 Gari ya lema ikiwa inasukumwa na mashabiki mara baada yakutoka mahakamani
 Gari ya polisi ikiwa inapisha maandamano yapite



 kila mmoja alikuwa anashangilia kivyake
 wamama wakiwa wanapita njiani wakishangilia aliyekuywa mmbunge wakati akipita kutoka mahakamani
 wananchi wengine waliendeea na shughuli zao wakati msafara ukipita

 Hawa ni makamanda waliokuwa wamevalia Tisheti za M4C huku mungine akiwa ameshona kanzu kabisa

 Lema akiongea a wananchi nje ya ofisi ya chama mara baada ya kutoka mahakamani
 wananchi wakiwa nje ya ofisi ya chama wanamsikiliza lema

RUFAA ya kupinga kuvuliwa ubunge wa aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA), ambao ulikua inatarajiwa kusikilizwa leo na jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa chini ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande na wenzake, Natalia Kimaro na Salum Massatiumesikilizwa ila kesi imearishwa.
Kesi hiyo ambayo ilikuwa inatolewa maamuzi leo imeairishwa na jaji mkuu wa Tanzania kwa kile kilichodaiwa kuwa wakili wa upande wa mkata rufaa na wakili wa serekali kupata matatizo ya kufiwa  na  baba yao mzazi
Jaji mkuu alifikia hatua ya kuamua kesi hiyo ihairishwe hadi pale ifikapo October 2 mwaka huu ambapo ndipo imesemekana huku ya kesi hiyo ndio itakapo tolewa.
Mara baada ya kesi hiyo kuhairishwa umati mkubwa uliokuwepo mahakamani hapo uliondoka hadi katika ofisi za chama cha demokrasia na maendeleo Chadema ambapo aliyekuwa mmbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema alongea na wananchi walikuwa wakimsindikiza nae aliwasihi wananchi hao kuwaombea majaji wa kesi hiyo ili waweze kutoa hukumu ya haki.
“mimi sio kwamba nataka nishinde na wala siogopi kushidwa ila naomba tuwaombe hawa majaji wa kesi hii ili waweze kutoa maamuzi ya haki yasiyomgandamiza mtu yeyote,na napenda pia kuchukuwa nafasi hi kuwaeleza kuwa jumanne tunatarajia kufanya mkutano katika kiwanja cha ngarenaro ambapo hapo ndipo tutakapo fungua kampeni zetu za udiwani rasmi”alisema lema
Alibainisha kuwa mbali na kuzindua kampeni pia wanampango wa kuzindua mikutano ambayo itajulikana   kufa au kupana ,mkutano ambao utafanywa kwa nyumba kwa nyumba  pamoja na kitongoji kwa kitongoji

Hata hivyo, habari za uhakika kutoka mahakamani hapo zinaeleza kuwa tayari mawakili wa pande zote mbili wameandika barua ya kuomba kusogezwa mbele kwa shauri hilo hadi Oktoba 2, mwaka huu, kufuatia mawakili, Tundu Lissu, anayemtetea Lema na kaka yake, Alute Mughwai, anayewatetea walalamikaji, kufiwa na baba yao mzazi.


Shauri hilo lililokuwa likisubiriwa kwa hamu na wakazi wengi wa Jiji la Arusha na Watanzania wengi linatarajiwa kusikilizwa kwa siku moja kisha kupangiwa tarehe kwa ajili ya kutoa uamuzi.


Wakili Mughwai anashirikiana na wakili Modest Akida kuwawakilisha wadaiwa kwenye shauri hilo ambao ni wanachama watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mussa Mkanga, Agness Mollel na Happy Kivuyo, waliofungua shauri lililotengua ubunge wa Lema wakidai kuwa wakati wa kampeni alimdhalilisha mgombea wa CCM, Dk. Batilda Burian kwa kutumia lugha za matusi.


Awali, Lema kupitia wakili wake, Method Kimomogoro, anayesaidiana na Lissu, aliwasilisha kwenye mahakama hiyo hoja 18 za madai akipinga kutenguliwa kwa ubunge wake na Mahakama Kuu Kanda ya Arusha Aprili 5, mwaka huu.


Kwenye baadhi ya madai hayo, Lema aliiomba Mahakama ya Rufaa kutengua uamuzi wa Mahakama Kuu, uliotengua ubunge wake, huku akiitaka imtangaze kuwa mbunge halali wa Jimbo la Arusha Mjini.


Aidha, aliitaka mahakama hiyo ya juu, iwaamuru walalamikiwa katika shauri hilo walipe gharama za rufaa hiyo pamoja na zile za kesi iliyomalizika kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.

Katika madai mengine, Lema anamlalamikia Jaji Gabriel Rwakibarila, aliyesikiliza kesi hiyo kuwa alitoa uamuzi wake kwa kuzingatia maneno ya uvumi, huku akipuuza ushahidi uliotolewa mahakamani hapo.


Lema anadai kuwa jaji alikosea wakati alipoamua kuwa mpiga kura yeyote anaruhusiwa kupinga matokeo ya uchaguzi hata kama haki zake za msingi hazijaguswa.

Chanzo:Libeneke la Kaskazin
Posted by Unknown at 8:21 AM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Newer Posts Older Posts Home
Subscribe to: Posts (Atom)

99 BEAUTIFUL NAMES OF ALLAH

Sikiliza Redio

FREE LIVE RADIO ONLINE
Clouds FM
Listen to Clouds FM - FM 88.4 - Dar es Salaam

Grab radio widget | More radio
Free Live Radio Stations

LEO NI:

SASA NI

Blog Archive

  • ▼  2018 (47)
    • ▼  May (29)
      • ▼  May 06 (29)
        • Rostand anatunguliwa na kipa mwenzake
        • Waarabu wanapata penalti
        • Zimeongezwa dakika mbili
        • Dante ameumia
        • Pato anaingia kumpokea Makapu
        • Darfalou alimwa kadi naye
        • Juma Mahadhi apewa kadi
        • Rafael anatoka Abdul anaingia
        • Yanga inapigwa la tatu
        • Hassan Kessy anaupiga mwingi
        • Waarabu wameanza uhuni wao
        • Mopira umeanza
        • Timu zinarudi uwanjani
        • Takwimu za nusu ya kwanza
        • Ni mapumziko sasa
        • Imeongezwa dakika moja ya nyongeza
        • Yanga wanakosa bao
        • Pengo la Tshishimbi, Chirwa, Ajibu laonekana
        • Mambo bado magumu
        • Yanga inapata kona ya kwanza
        • Uwanja umeelemea kwa Yanga
        • Yanga chupuchupu tena
        • Yanga wanakoswa koswa
        • Dakika ya 15 mambo bado
        • Yanga yatanguliwa bao la mapema
        • Hiki ndicho kikosi cha Yanga kitakachoanza dhidi y...
        • Yanga yarahisishiwa kazi Kombe la Shirikisho Afrika
        • Simba hii ya Lechantre tema mate chini, Okwi motoooo!
        • Mkwera kamkalisha mtu kwa KO katika masumbwi
    • ►  April (2)
      • ►  Apr 29 (2)
    • ►  March (3)
      • ►  Mar 21 (2)
      • ►  Mar 17 (1)
    • ►  January (13)
      • ►  Jan 06 (5)
      • ►  Jan 05 (8)
  • ►  2017 (73)
    • ►  September (4)
      • ►  Sep 12 (4)
    • ►  April (7)
      • ►  Apr 13 (7)
    • ►  January (62)
      • ►  Jan 15 (9)
      • ►  Jan 13 (23)
      • ►  Jan 12 (8)
      • ►  Jan 09 (1)
      • ►  Jan 08 (8)
      • ►  Jan 06 (13)
  • ►  2016 (174)
    • ►  September (6)
      • ►  Sep 09 (6)
    • ►  August (7)
      • ►  Aug 19 (7)
    • ►  June (68)
      • ►  Jun 24 (9)
      • ►  Jun 23 (5)
      • ►  Jun 22 (8)
      • ►  Jun 15 (4)
      • ►  Jun 10 (6)
      • ►  Jun 09 (10)
      • ►  Jun 08 (9)
      • ►  Jun 03 (10)
      • ►  Jun 01 (7)
    • ►  May (53)
      • ►  May 30 (9)
      • ►  May 29 (2)
      • ►  May 28 (6)
      • ►  May 27 (10)
      • ►  May 22 (10)
      • ►  May 21 (5)
      • ►  May 20 (11)
    • ►  February (5)
      • ►  Feb 12 (5)
    • ►  January (35)
      • ►  Jan 10 (8)
      • ►  Jan 08 (12)
      • ►  Jan 07 (12)
      • ►  Jan 06 (3)
  • ►  2015 (459)
    • ►  December (3)
      • ►  Dec 10 (3)
    • ►  September (3)
      • ►  Sep 11 (3)
    • ►  August (28)
      • ►  Aug 22 (2)
      • ►  Aug 21 (4)
      • ►  Aug 19 (5)
      • ►  Aug 18 (4)
      • ►  Aug 15 (8)
      • ►  Aug 11 (3)
      • ►  Aug 03 (2)
    • ►  July (11)
      • ►  Jul 20 (4)
      • ►  Jul 11 (2)
      • ►  Jul 10 (5)
    • ►  June (26)
      • ►  Jun 26 (9)
      • ►  Jun 24 (2)
      • ►  Jun 22 (1)
      • ►  Jun 21 (4)
      • ►  Jun 17 (3)
      • ►  Jun 12 (7)
    • ►  May (25)
      • ►  May 18 (1)
      • ►  May 17 (8)
      • ►  May 15 (2)
      • ►  May 11 (4)
      • ►  May 10 (10)
    • ►  April (15)
      • ►  Apr 08 (5)
      • ►  Apr 06 (2)
      • ►  Apr 05 (1)
      • ►  Apr 03 (7)
    • ►  March (53)
      • ►  Mar 15 (6)
      • ►  Mar 09 (4)
      • ►  Mar 07 (7)
      • ►  Mar 06 (8)
      • ►  Mar 05 (7)
      • ►  Mar 04 (5)
      • ►  Mar 03 (5)
      • ►  Mar 02 (8)
      • ►  Mar 01 (3)
    • ►  February (163)
      • ►  Feb 28 (11)
      • ►  Feb 26 (9)
      • ►  Feb 25 (12)
      • ►  Feb 23 (7)
      • ►  Feb 22 (9)
      • ►  Feb 21 (3)
      • ►  Feb 20 (4)
      • ►  Feb 19 (4)
      • ►  Feb 18 (8)
      • ►  Feb 16 (6)
      • ►  Feb 15 (5)
      • ►  Feb 13 (9)
      • ►  Feb 12 (5)
      • ►  Feb 11 (3)
      • ►  Feb 09 (3)
      • ►  Feb 08 (10)
      • ►  Feb 07 (18)
      • ►  Feb 05 (6)
      • ►  Feb 04 (8)
      • ►  Feb 03 (12)
      • ►  Feb 02 (8)
      • ►  Feb 01 (3)
    • ►  January (132)
      • ►  Jan 31 (4)
      • ►  Jan 30 (14)
      • ►  Jan 28 (14)
      • ►  Jan 24 (10)
      • ►  Jan 21 (5)
      • ►  Jan 20 (6)
      • ►  Jan 18 (3)
      • ►  Jan 17 (2)
      • ►  Jan 12 (11)
      • ►  Jan 11 (4)
      • ►  Jan 10 (5)
      • ►  Jan 09 (8)
      • ►  Jan 05 (7)
      • ►  Jan 04 (17)
      • ►  Jan 03 (8)
      • ►  Jan 02 (14)
  • ►  2014 (1988)
    • ►  December (194)
      • ►  Dec 31 (4)
      • ►  Dec 30 (8)
      • ►  Dec 28 (10)
      • ►  Dec 25 (6)
      • ►  Dec 24 (5)
      • ►  Dec 23 (10)
      • ►  Dec 22 (8)
      • ►  Dec 21 (10)
      • ►  Dec 19 (20)
      • ►  Dec 18 (3)
      • ►  Dec 17 (5)
      • ►  Dec 16 (9)
      • ►  Dec 15 (3)
      • ►  Dec 14 (15)
      • ►  Dec 10 (2)
      • ►  Dec 09 (15)
      • ►  Dec 07 (9)
      • ►  Dec 06 (11)
      • ►  Dec 05 (10)
      • ►  Dec 04 (4)
      • ►  Dec 03 (2)
      • ►  Dec 02 (21)
      • ►  Dec 01 (4)
    • ►  November (112)
      • ►  Nov 30 (8)
      • ►  Nov 29 (3)
      • ►  Nov 27 (4)
      • ►  Nov 26 (11)
      • ►  Nov 11 (17)
      • ►  Nov 10 (1)
      • ►  Nov 09 (16)
      • ►  Nov 07 (6)
      • ►  Nov 06 (13)
      • ►  Nov 05 (6)
      • ►  Nov 04 (1)
      • ►  Nov 03 (13)
      • ►  Nov 02 (4)
      • ►  Nov 01 (9)
    • ►  October (184)
      • ►  Oct 31 (18)
      • ►  Oct 30 (5)
      • ►  Oct 29 (2)
      • ►  Oct 28 (3)
      • ►  Oct 27 (6)
      • ►  Oct 26 (9)
      • ►  Oct 25 (14)
      • ►  Oct 24 (6)
      • ►  Oct 23 (7)
      • ►  Oct 22 (10)
      • ►  Oct 21 (4)
      • ►  Oct 20 (15)
      • ►  Oct 18 (13)
      • ►  Oct 16 (9)
      • ►  Oct 15 (4)
      • ►  Oct 14 (7)
      • ►  Oct 13 (5)
      • ►  Oct 12 (5)
      • ►  Oct 07 (13)
      • ►  Oct 06 (4)
      • ►  Oct 05 (12)
      • ►  Oct 04 (13)
    • ►  September (222)
      • ►  Sep 29 (6)
      • ►  Sep 28 (7)
      • ►  Sep 27 (20)
      • ►  Sep 26 (1)
      • ►  Sep 25 (11)
      • ►  Sep 23 (9)
      • ►  Sep 21 (5)
      • ►  Sep 20 (9)
      • ►  Sep 19 (11)
      • ►  Sep 18 (1)
      • ►  Sep 14 (11)
      • ►  Sep 13 (12)
      • ►  Sep 12 (11)
      • ►  Sep 11 (4)
      • ►  Sep 10 (7)
      • ►  Sep 09 (11)
      • ►  Sep 08 (15)
      • ►  Sep 07 (17)
      • ►  Sep 06 (5)
      • ►  Sep 05 (11)
      • ►  Sep 04 (10)
      • ►  Sep 03 (12)
      • ►  Sep 02 (8)
      • ►  Sep 01 (8)
    • ►  August (167)
      • ►  Aug 31 (16)
      • ►  Aug 29 (9)
      • ►  Aug 28 (13)
      • ►  Aug 27 (22)
      • ►  Aug 26 (6)
      • ►  Aug 25 (16)
      • ►  Aug 24 (17)
      • ►  Aug 22 (9)
      • ►  Aug 21 (8)
      • ►  Aug 20 (1)
      • ►  Aug 17 (7)
      • ►  Aug 15 (13)
      • ►  Aug 14 (8)
      • ►  Aug 12 (3)
      • ►  Aug 04 (9)
      • ►  Aug 03 (10)
    • ►  July (81)
      • ►  Jul 23 (3)
      • ►  Jul 21 (5)
      • ►  Jul 19 (7)
      • ►  Jul 18 (11)
      • ►  Jul 17 (9)
      • ►  Jul 15 (6)
      • ►  Jul 14 (5)
      • ►  Jul 05 (8)
      • ►  Jul 04 (9)
      • ►  Jul 03 (5)
      • ►  Jul 01 (13)
    • ►  June (91)
      • ►  Jun 28 (5)
      • ►  Jun 24 (5)
      • ►  Jun 22 (8)
      • ►  Jun 20 (6)
      • ►  Jun 17 (9)
      • ►  Jun 15 (8)
      • ►  Jun 13 (5)
      • ►  Jun 12 (6)
      • ►  Jun 11 (6)
      • ►  Jun 10 (8)
      • ►  Jun 09 (6)
      • ►  Jun 06 (17)
      • ►  Jun 03 (2)
    • ►  May (70)
      • ►  May 28 (5)
      • ►  May 27 (10)
      • ►  May 16 (4)
      • ►  May 13 (10)
      • ►  May 09 (1)
      • ►  May 08 (20)
      • ►  May 06 (6)
      • ►  May 05 (3)
      • ►  May 04 (2)
      • ►  May 02 (6)
      • ►  May 01 (3)
    • ►  April (226)
      • ►  Apr 30 (5)
      • ►  Apr 29 (13)
      • ►  Apr 28 (6)
      • ►  Apr 27 (16)
      • ►  Apr 24 (12)
      • ►  Apr 23 (4)
      • ►  Apr 22 (13)
      • ►  Apr 21 (1)
      • ►  Apr 18 (4)
      • ►  Apr 17 (7)
      • ►  Apr 16 (2)
      • ►  Apr 15 (2)
      • ►  Apr 14 (11)
      • ►  Apr 13 (24)
      • ►  Apr 12 (5)
      • ►  Apr 11 (5)
      • ►  Apr 10 (8)
      • ►  Apr 09 (5)
      • ►  Apr 08 (10)
      • ►  Apr 07 (11)
      • ►  Apr 06 (14)
      • ►  Apr 05 (18)
      • ►  Apr 04 (4)
      • ►  Apr 03 (3)
      • ►  Apr 02 (9)
      • ►  Apr 01 (14)
    • ►  March (252)
      • ►  Mar 31 (2)
      • ►  Mar 30 (13)
      • ►  Mar 29 (13)
      • ►  Mar 28 (8)
      • ►  Mar 26 (6)
      • ►  Mar 25 (11)
      • ►  Mar 24 (6)
      • ►  Mar 23 (13)
      • ►  Mar 22 (9)
      • ►  Mar 20 (9)
      • ►  Mar 19 (9)
      • ►  Mar 18 (13)
      • ►  Mar 17 (6)
      • ►  Mar 16 (5)
      • ►  Mar 15 (10)
      • ►  Mar 12 (12)
      • ►  Mar 11 (9)
      • ►  Mar 10 (6)
      • ►  Mar 09 (15)
      • ►  Mar 08 (13)
      • ►  Mar 07 (2)
      • ►  Mar 06 (9)
      • ►  Mar 05 (6)
      • ►  Mar 04 (10)
      • ►  Mar 03 (9)
      • ►  Mar 02 (14)
      • ►  Mar 01 (14)
    • ►  February (204)
      • ►  Feb 27 (12)
      • ►  Feb 26 (10)
      • ►  Feb 25 (3)
      • ►  Feb 24 (10)
      • ►  Feb 23 (11)
      • ►  Feb 22 (8)
      • ►  Feb 21 (7)
      • ►  Feb 20 (5)
      • ►  Feb 19 (7)
      • ►  Feb 18 (11)
      • ►  Feb 16 (3)
      • ►  Feb 15 (11)
      • ►  Feb 14 (6)
      • ►  Feb 13 (14)
      • ►  Feb 12 (5)
      • ►  Feb 11 (7)
      • ►  Feb 10 (9)
      • ►  Feb 09 (10)
      • ►  Feb 08 (2)
      • ►  Feb 07 (15)
      • ►  Feb 06 (8)
      • ►  Feb 04 (8)
      • ►  Feb 02 (8)
      • ►  Feb 01 (14)
    • ►  January (185)
      • ►  Jan 31 (7)
      • ►  Jan 30 (11)
      • ►  Jan 29 (9)
      • ►  Jan 28 (9)
      • ►  Jan 27 (3)
      • ►  Jan 26 (8)
      • ►  Jan 25 (5)
      • ►  Jan 24 (11)
      • ►  Jan 23 (7)
      • ►  Jan 22 (4)
      • ►  Jan 21 (7)
      • ►  Jan 20 (3)
      • ►  Jan 19 (3)
      • ►  Jan 18 (12)
      • ►  Jan 17 (6)
      • ►  Jan 16 (1)
      • ►  Jan 15 (8)
      • ►  Jan 14 (12)
      • ►  Jan 13 (7)
      • ►  Jan 12 (14)
      • ►  Jan 11 (4)
      • ►  Jan 10 (2)
      • ►  Jan 09 (6)
      • ►  Jan 08 (3)
      • ►  Jan 07 (2)
      • ►  Jan 06 (7)
      • ►  Jan 03 (4)
      • ►  Jan 02 (6)
      • ►  Jan 01 (4)
  • ►  2013 (2402)
    • ►  December (166)
      • ►  Dec 30 (7)
      • ►  Dec 29 (3)
      • ►  Dec 27 (1)
      • ►  Dec 26 (8)
      • ►  Dec 25 (5)
      • ►  Dec 24 (2)
      • ►  Dec 23 (15)
      • ►  Dec 22 (8)
      • ►  Dec 21 (7)
      • ►  Dec 20 (12)
      • ►  Dec 19 (4)
      • ►  Dec 18 (9)
      • ►  Dec 17 (6)
      • ►  Dec 16 (7)
      • ►  Dec 14 (7)
      • ►  Dec 13 (8)
      • ►  Dec 12 (9)
      • ►  Dec 10 (8)
      • ►  Dec 07 (7)
      • ►  Dec 06 (9)
      • ►  Dec 05 (9)
      • ►  Dec 03 (6)
      • ►  Dec 02 (9)
    • ►  November (181)
      • ►  Nov 30 (14)
      • ►  Nov 29 (10)
      • ►  Nov 28 (5)
      • ►  Nov 27 (2)
      • ►  Nov 26 (9)
      • ►  Nov 25 (5)
      • ►  Nov 24 (1)
      • ►  Nov 23 (3)
      • ►  Nov 22 (3)
      • ►  Nov 21 (3)
      • ►  Nov 20 (8)
      • ►  Nov 18 (6)
      • ►  Nov 16 (9)
      • ►  Nov 15 (2)
      • ►  Nov 13 (3)
      • ►  Nov 12 (5)
      • ►  Nov 11 (7)
      • ►  Nov 10 (18)
      • ►  Nov 09 (18)
      • ►  Nov 07 (4)
      • ►  Nov 06 (9)
      • ►  Nov 05 (13)
      • ►  Nov 04 (7)
      • ►  Nov 03 (12)
      • ►  Nov 02 (1)
      • ►  Nov 01 (4)
    • ►  October (190)
      • ►  Oct 31 (10)
      • ►  Oct 30 (4)
      • ►  Oct 29 (2)
      • ►  Oct 28 (6)
      • ►  Oct 25 (5)
      • ►  Oct 24 (3)
      • ►  Oct 23 (3)
      • ►  Oct 22 (12)
      • ►  Oct 21 (7)
      • ►  Oct 20 (12)
      • ►  Oct 19 (11)
      • ►  Oct 18 (4)
      • ►  Oct 17 (1)
      • ►  Oct 16 (6)
      • ►  Oct 15 (16)
      • ►  Oct 14 (4)
      • ►  Oct 13 (6)
      • ►  Oct 12 (8)
      • ►  Oct 11 (2)
      • ►  Oct 10 (6)
      • ►  Oct 09 (6)
      • ►  Oct 08 (3)
      • ►  Oct 07 (7)
      • ►  Oct 06 (9)
      • ►  Oct 05 (11)
      • ►  Oct 04 (11)
      • ►  Oct 03 (7)
      • ►  Oct 02 (1)
      • ►  Oct 01 (7)
    • ►  September (204)
      • ►  Sep 30 (8)
      • ►  Sep 28 (8)
      • ►  Sep 27 (4)
      • ►  Sep 26 (16)
      • ►  Sep 25 (7)
      • ►  Sep 24 (12)
      • ►  Sep 23 (9)
      • ►  Sep 22 (11)
      • ►  Sep 21 (9)
      • ►  Sep 20 (9)
      • ►  Sep 19 (7)
      • ►  Sep 18 (2)
      • ►  Sep 17 (8)
      • ►  Sep 16 (7)
      • ►  Sep 15 (10)
      • ►  Sep 13 (20)
      • ►  Sep 12 (2)
      • ►  Sep 11 (6)
      • ►  Sep 10 (6)
      • ►  Sep 09 (2)
      • ►  Sep 08 (2)
      • ►  Sep 07 (2)
      • ►  Sep 06 (13)
      • ►  Sep 04 (1)
      • ►  Sep 03 (8)
      • ►  Sep 02 (6)
      • ►  Sep 01 (9)
    • ►  August (241)
      • ►  Aug 30 (4)
      • ►  Aug 29 (15)
      • ►  Aug 28 (6)
      • ►  Aug 27 (4)
      • ►  Aug 26 (7)
      • ►  Aug 25 (6)
      • ►  Aug 24 (3)
      • ►  Aug 23 (9)
      • ►  Aug 21 (10)
      • ►  Aug 20 (8)
      • ►  Aug 19 (9)
      • ►  Aug 17 (11)
      • ►  Aug 16 (9)
      • ►  Aug 15 (8)
      • ►  Aug 14 (6)
      • ►  Aug 13 (7)
      • ►  Aug 12 (4)
      • ►  Aug 11 (17)
      • ►  Aug 10 (11)
      • ►  Aug 09 (5)
      • ►  Aug 08 (9)
      • ►  Aug 07 (7)
      • ►  Aug 06 (9)
      • ►  Aug 05 (16)
      • ►  Aug 04 (11)
      • ►  Aug 03 (6)
      • ►  Aug 02 (18)
      • ►  Aug 01 (6)
    • ►  July (315)
      • ►  Jul 30 (8)
      • ►  Jul 29 (6)
      • ►  Jul 28 (11)
      • ►  Jul 27 (13)
      • ►  Jul 26 (9)
      • ►  Jul 25 (10)
      • ►  Jul 24 (12)
      • ►  Jul 23 (10)
      • ►  Jul 22 (13)
      • ►  Jul 21 (8)
      • ►  Jul 19 (10)
      • ►  Jul 18 (10)
      • ►  Jul 17 (13)
      • ►  Jul 16 (11)
      • ►  Jul 15 (13)
      • ►  Jul 14 (15)
      • ►  Jul 13 (7)
      • ►  Jul 12 (3)
      • ►  Jul 11 (16)
      • ►  Jul 10 (12)
      • ►  Jul 09 (15)
      • ►  Jul 08 (15)
      • ►  Jul 07 (8)
      • ►  Jul 06 (16)
      • ►  Jul 05 (6)
      • ►  Jul 04 (7)
      • ►  Jul 03 (10)
      • ►  Jul 02 (16)
      • ►  Jul 01 (12)
    • ►  June (253)
      • ►  Jun 30 (10)
      • ►  Jun 29 (5)
      • ►  Jun 28 (11)
      • ►  Jun 27 (14)
      • ►  Jun 26 (10)
      • ►  Jun 25 (14)
      • ►  Jun 24 (8)
      • ►  Jun 23 (10)
      • ►  Jun 21 (11)
      • ►  Jun 20 (8)
      • ►  Jun 19 (5)
      • ►  Jun 18 (9)
      • ►  Jun 17 (12)
      • ►  Jun 16 (10)
      • ►  Jun 15 (4)
      • ►  Jun 14 (12)
      • ►  Jun 13 (10)
      • ►  Jun 12 (10)
      • ►  Jun 11 (7)
      • ►  Jun 10 (17)
      • ►  Jun 08 (7)
      • ►  Jun 07 (8)
      • ►  Jun 06 (12)
      • ►  Jun 05 (7)
      • ►  Jun 03 (8)
      • ►  Jun 02 (10)
      • ►  Jun 01 (4)
    • ►  May (235)
      • ►  May 31 (8)
      • ►  May 30 (10)
      • ►  May 29 (3)
      • ►  May 28 (8)
      • ►  May 27 (4)
      • ►  May 26 (10)
      • ►  May 25 (2)
      • ►  May 24 (12)
      • ►  May 23 (9)
      • ►  May 22 (10)
      • ►  May 21 (14)
      • ►  May 20 (7)
      • ►  May 19 (4)
      • ►  May 18 (12)
      • ►  May 17 (7)
      • ►  May 16 (9)
      • ►  May 15 (5)
      • ►  May 14 (8)
      • ►  May 12 (8)
      • ►  May 11 (3)
      • ►  May 10 (6)
      • ►  May 09 (9)
      • ►  May 08 (10)
      • ►  May 07 (11)
      • ►  May 06 (13)
      • ►  May 04 (5)
      • ►  May 03 (12)
      • ►  May 02 (8)
      • ►  May 01 (8)
    • ►  April (183)
      • ►  Apr 30 (7)
      • ►  Apr 27 (9)
      • ►  Apr 25 (10)
      • ►  Apr 24 (8)
      • ►  Apr 23 (8)
      • ►  Apr 22 (12)
      • ►  Apr 21 (6)
      • ►  Apr 20 (2)
      • ►  Apr 19 (10)
      • ►  Apr 18 (7)
      • ►  Apr 17 (8)
      • ►  Apr 16 (13)
      • ►  Apr 15 (2)
      • ►  Apr 14 (5)
      • ►  Apr 13 (3)
      • ►  Apr 12 (7)
      • ►  Apr 11 (8)
      • ►  Apr 10 (7)
      • ►  Apr 09 (8)
      • ►  Apr 07 (3)
      • ►  Apr 06 (4)
      • ►  Apr 05 (2)
      • ►  Apr 04 (6)
      • ►  Apr 03 (10)
      • ►  Apr 02 (6)
      • ►  Apr 01 (12)
    • ►  March (195)
      • ►  Mar 31 (3)
      • ►  Mar 30 (9)
      • ►  Mar 29 (6)
      • ►  Mar 28 (3)
      • ►  Mar 27 (4)
      • ►  Mar 25 (10)
      • ►  Mar 22 (2)
      • ►  Mar 21 (10)
      • ►  Mar 20 (8)
      • ►  Mar 19 (10)
      • ►  Mar 18 (11)
      • ►  Mar 17 (9)
      • ►  Mar 16 (10)
      • ►  Mar 15 (12)
      • ►  Mar 14 (6)
      • ►  Mar 13 (4)
      • ►  Mar 12 (9)
      • ►  Mar 11 (4)
      • ►  Mar 10 (7)
      • ►  Mar 09 (3)
      • ►  Mar 08 (12)
      • ►  Mar 07 (7)
      • ►  Mar 06 (1)
      • ►  Mar 05 (5)
      • ►  Mar 04 (10)
      • ►  Mar 02 (7)
      • ►  Mar 01 (13)
    • ►  February (140)
      • ►  Feb 28 (4)
      • ►  Feb 27 (7)
      • ►  Feb 26 (10)
      • ►  Feb 25 (6)
      • ►  Feb 24 (5)
      • ►  Feb 23 (11)
      • ►  Feb 22 (8)
      • ►  Feb 21 (2)
      • ►  Feb 20 (1)
      • ►  Feb 18 (5)
      • ►  Feb 16 (10)
      • ►  Feb 15 (14)
      • ►  Feb 14 (1)
      • ►  Feb 13 (6)
      • ►  Feb 12 (10)
      • ►  Feb 11 (6)
      • ►  Feb 09 (8)
      • ►  Feb 05 (6)
      • ►  Feb 01 (20)
    • ►  January (99)
      • ►  Jan 31 (7)
      • ►  Jan 30 (12)
      • ►  Jan 24 (6)
      • ►  Jan 23 (8)
      • ►  Jan 18 (10)
      • ►  Jan 16 (5)
      • ►  Jan 15 (4)
      • ►  Jan 13 (6)
      • ►  Jan 12 (8)
      • ►  Jan 09 (8)
      • ►  Jan 08 (3)
      • ►  Jan 07 (7)
      • ►  Jan 05 (3)
      • ►  Jan 03 (7)
      • ►  Jan 01 (5)
  • ►  2012 (411)
    • ►  December (51)
      • ►  Dec 31 (9)
      • ►  Dec 29 (8)
      • ►  Dec 20 (3)
      • ►  Dec 19 (8)
      • ►  Dec 11 (5)
      • ►  Dec 10 (4)
      • ►  Dec 05 (5)
      • ►  Dec 04 (3)
      • ►  Dec 01 (6)
    • ►  November (48)
      • ►  Nov 29 (11)
      • ►  Nov 28 (10)
      • ►  Nov 27 (11)
      • ►  Nov 19 (10)
      • ►  Nov 17 (1)
      • ►  Nov 10 (5)
    • ►  October (23)
      • ►  Oct 29 (10)
      • ►  Oct 15 (3)
      • ►  Oct 14 (6)
      • ►  Oct 13 (4)
    • ►  September (94)
      • ►  Sep 30 (4)
      • ►  Sep 29 (8)
      • ►  Sep 28 (16)
      • ►  Sep 27 (3)
      • ►  Sep 26 (6)
      • ►  Sep 24 (7)
      • ►  Sep 22 (6)
      • ►  Sep 21 (12)
      • ►  Sep 20 (10)
      • ►  Sep 19 (8)
      • ►  Sep 17 (6)
      • ►  Sep 11 (3)
      • ►  Sep 05 (5)
    • ►  August (37)
      • ►  Aug 13 (1)
      • ►  Aug 12 (5)
      • ►  Aug 11 (10)
      • ►  Aug 08 (5)
      • ►  Aug 04 (2)
      • ►  Aug 03 (4)
      • ►  Aug 02 (5)
      • ►  Aug 01 (5)
    • ►  July (24)
      • ►  Jul 30 (9)
      • ►  Jul 29 (5)
      • ►  Jul 02 (2)
      • ►  Jul 01 (8)
    • ►  June (42)
      • ►  Jun 25 (5)
      • ►  Jun 19 (3)
      • ►  Jun 08 (1)
      • ►  Jun 07 (5)
      • ►  Jun 06 (8)
      • ►  Jun 04 (7)
      • ►  Jun 02 (3)
      • ►  Jun 01 (10)
    • ►  May (51)
      • ►  May 28 (5)
      • ►  May 25 (9)
      • ►  May 23 (5)
      • ►  May 22 (11)
      • ►  May 21 (9)
      • ►  May 19 (5)
      • ►  May 17 (7)
    • ►  April (15)
      • ►  Apr 20 (3)
      • ►  Apr 19 (8)
      • ►  Apr 07 (4)
    • ►  January (26)
      • ►  Jan 19 (3)
      • ►  Jan 18 (11)
      • ►  Jan 10 (3)
      • ►  Jan 06 (9)
  • ►  2011 (191)
    • ►  December (25)
      • ►  Dec 30 (12)
      • ►  Dec 27 (7)
      • ►  Dec 02 (6)
    • ►  November (17)
      • ►  Nov 18 (6)
      • ►  Nov 12 (11)
    • ►  October (6)
      • ►  Oct 20 (6)
    • ►  September (20)
      • ►  Sep 30 (11)
      • ►  Sep 26 (5)
      • ►  Sep 21 (1)
      • ►  Sep 13 (3)
    • ►  August (13)
      • ►  Aug 28 (2)
      • ►  Aug 27 (6)
      • ►  Aug 08 (5)
    • ►  July (30)
      • ►  Jul 31 (9)
      • ►  Jul 30 (1)
      • ►  Jul 27 (6)
      • ►  Jul 16 (1)
      • ►  Jul 15 (7)
      • ►  Jul 14 (4)
      • ►  Jul 09 (2)
    • ►  June (13)
      • ►  Jun 29 (1)
      • ►  Jun 26 (10)
      • ►  Jun 25 (2)
    • ►  April (23)
      • ►  Apr 25 (6)
      • ►  Apr 15 (17)
    • ►  March (20)
      • ►  Mar 12 (6)
      • ►  Mar 08 (3)
      • ►  Mar 04 (3)
      • ►  Mar 03 (6)
      • ►  Mar 02 (2)
    • ►  February (24)
      • ►  Feb 28 (2)
      • ►  Feb 26 (3)
      • ►  Feb 25 (3)
      • ►  Feb 24 (1)
      • ►  Feb 22 (3)
      • ►  Feb 19 (2)
      • ►  Feb 15 (1)
      • ►  Feb 12 (3)
      • ►  Feb 11 (1)
      • ►  Feb 04 (5)
  • ►  2010 (72)
    • ►  December (24)
      • ►  Dec 18 (3)
      • ►  Dec 16 (3)
      • ►  Dec 13 (2)
      • ►  Dec 10 (8)
      • ►  Dec 06 (6)
      • ►  Dec 05 (2)
    • ►  September (10)
      • ►  Sep 29 (3)
      • ►  Sep 23 (1)
      • ►  Sep 17 (2)
      • ►  Sep 10 (1)
      • ►  Sep 06 (1)
      • ►  Sep 05 (2)
    • ►  August (10)
      • ►  Aug 23 (4)
      • ►  Aug 22 (2)
      • ►  Aug 20 (1)
      • ►  Aug 03 (3)
    • ►  July (28)
      • ►  Jul 27 (5)
      • ►  Jul 23 (1)
      • ►  Jul 19 (15)
      • ►  Jul 10 (1)
      • ►  Jul 09 (2)
      • ►  Jul 07 (4)

BLOGS NYINGINE

  • BBCSwahili.com | Habari
    Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025: Kutoka Mkapa vs Mrema hadi Samia vs Mwajuma - Mgombea wa CCM Samia anapambana na vyama 16 kumi na sita ambavyo jumla ya kura walizozipata wagombea wake wote katika uchaguzi uliopita ni nusu milioni amb...
    1 hour ago
  • HABARI MSETO BLOG
    Shule Pemba yakabidhiwa gari la TSh.Milioni 100 - *Na Mwandishi Wetu, Zanzibar* SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetoa gari aina ya Toyota Hilux, Double Cabin yenye thamani ya takribani TSh.Milion...
    16 hours ago
  • LENZI YA MICHEZO
    Samia aijaza Manoti Stars - RAIS Samia Suluhu Hassan ameiwazadia timu ya soka ya Taifa, ‘Taifa Stars’ Sh milioni 200 kuelekea mchezo wa robo fainali wa michuano ya Mabingwa wa Af...
    2 weeks ago
  • BIN ZUBEIRY
    ‘NINJA’ HIMID MAO MKAMI NAYE AREJEA AZAM FC - KLABU ya Azam FC imemtambulisha kiungo Himid Mao Mkami (32) kuwa mchezaji wake mpya kwa mkataba wa mwaka mmoja hadi mwaka 2026 akitokea Ghazl El Mahallay...
    1 month ago
  • Mwanaspotimwanzo
    Kisa Simba, Yanga yamsimamisha mwanasheria wao - Simon alikaimu nafasi hiyo baada ya David Ruhago kufurushiwa virago.
    4 years ago
  • Mwananchimwanzo
    Magufuli awatuliza wabunge nafasi za uwaziri - Amesema hakuna haraka ya kuteua mawaziri kwa kuwa wengi wana sifa
    4 years ago
  • MLEKANI NEWS
    TAKUKURU Kubaini Mamluki Michezo Mei Mosi 2020 - *Wajumbe wa Kamati ya Michezo ya mashindano ya Mei Mosi wakiwa kwenye kikao cha Kwanza cha maandalizi ya michezo hiyo kilichofanyika mwishoni mwa wiki k...
    5 years ago
  • Burudan Mwanzo - Mwisho
    BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...
    5 years ago
  • Ustream Live Shows
    Wolf River Cam-New London - Wolf River Cam's New London location. See walleye, sturgeon, bass and many more types of fish. Viewers: 645,527
    6 years ago
  • Mzuka wa Fungo
    MSANII DIAMOND AZINDUA WIMBO WA COLOURS KWA AJILI YA KOMBE LA DUNIA 2018 NCHINI URUSI - Cathbert Kajuna To:amichuzi,othmanmichuzi,MUHIDIN MICHUZI,Geofrey Adroph Bcc:fungoomar@yahoo.com May 15 at 6:00 AM Msanii Diamond akipagawisha mashabiki wa...
    7 years ago
  • Shaffih Dauda
    Kisa cha familia yenye “mkosi” zaidi katika soka, habari yao inasikitisha - Nou Camp ni kati ya sehemu ambayo kila mpenda soka angetamani kufiki, kwani nani asiyependa kumuona Messi na nani asiyependa kuona pasi nzuri zikipigwa na ...
    7 years ago
  • MASAI NYOTAMBOFU
    YALIYOJIRI: WATATU WABURUZWA MAHAKAMANI KWA KOSA LA KUBEBA MABANGO YAKUMKASHIFU MH RAIS MAGUFULI - Jana wafuasi wa UKAWA walitiwa mbaroni baada ya kutoke mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe wa kumkashifu Mtukufu Mkuu san...
    9 years ago
  • ELIMU KWANZA TANZANIA
    Airtel yakabidhi Sh Mil 5 Tuzo za Mwanamakuka 2014 - Afisa Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde (kushoto) akimkabidhi mfano wa hundi Mwenyekiti UWF na Mratibu wa Mradi wa Tuzo za Mwanamakuka Maryam Shamo wakati ...
    11 years ago
  • Soccerway.com
    -

FOLLOWERS

About Me

Unknown
View my complete profile

ZILIZOSOMWA SANA

  • Dante ameumia
  • Ghana, Afrika Kusini 'zaichomolea' CAF AFCON 2015
  • Sheikh Ponda aletwa Muhimbili? Ukweli kuweka hadharani Alasiri Msikiti wa Mtambani
Web Counter
WALIOTEMBELEA MPAKA SASA
Flag Counter

Tuliza akili zako kwa Game

BIASHARA NI MATANGAZO

WASILIANA NASI KWA MATANGAZO AU HABARI KUPITIA 0713-229787 au 0683-229787 ama email: kimwagaboy@yahoo.co.uk au wakuzataboy@yahoo.com
MICHARAZO MITUPU By BADRU KIMWAGA. Watermark theme. Theme images by compassandcamera. Powered by Blogger.