STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, July 22, 2013

Washindi shindano la kusoma Qur'an wapatikana

Msomaji wa Quran tukufu katika mashindano ya kitaifa, Abdallah Abdulkadri akisoma wakati wa fainali zake jana.

Msomaji wa Quran tukufu katika mashindano ya kitaifa, Seif Salim Said ambaye ni mremavu wa macho akisoma wakati wa fainali zake jana

Baadhi ya viongoza wa Dini wakifatilia mashindano hayo katika ukumbi wa Diamond Jubilee
Baadhi ya wanafunzi walioshiliki katika kusoma

Qur'an tukufu

Msomaji wa Quran tukufu katika mashindano ya kitaifa, Ummy Swaleh Said ambaye ni mlemavu wa macho akisoma wakati wa fainali hizo.

Baadhi ya waumini wa Dini Ya Kislam wakiongozwa na mratibu wa mashindano ya usomaji wa Qur'an Bi. Aisha Sururu wakifuatilia fainali hizo.
Bi Aisha Sururu akifuatilia mashindano hayo yaliyomalizika jana
Zawadi walizopewa washindi

Mgeni Rasmi wa Mashindano ya kuifadhi Quran tukufu kitaifa Dk, Suleiman Ally Yussuf katikati na Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ,Morteza Sabouri wakimkabidhi zawadi wa cherehani mshindi wa kusoma juzuu 20

Mgeni Rasmi wa Mashindano ya kuifadhi Quran tukufu kitaifa Dk Suleiman Ally Yussuf kulia na Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ,Morteza Sabouri wakimkabidhi zawadi ya bajaj  pamoja na pesa taslmu laki tano mshindi wa kuhifadhi Quran tukufu, Suria Ally Bakari.

Mgeni Rasmi wa Mashindano ya kuifadhi Quran tukufu kitaifa Dk Suleiman Ally Yussuf (kulia) akimkabidhi mshindi Abdul Hamid zawadi yake ya bajaj na pesa taslimu.


Baadhi ya washindi wa kuhifadhi Quran Tukufu wakiomba Dua baada ya kumalizika mashindano hayo

No comments:

Post a Comment