STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, August 11, 2013

Ajali nyingine ya basi, safari hii basi la Meridian

MATUKIO ya ajali za barabarani kwa mabasi ya abiria yameendelea baada ya leo tena basi la kampuni ya Meridian kupata ajali mbaya katika  eneo la Mbwewe, mjini Bagamoyo.
BASI la Meridian linalofanya safari zake Dar es Salaam na Rombo limepata ajali mbaya eneo la Mbwewe Bagamoyo
mkoani Pwani likiwa safarini kuelekea jijini Dar es Salaam likitokea Rombo.
Abiria kadhaa wamepoteza maisha katika ajali hiyo japo idadi kamili bado haijafahamika.

Chanzo: Jamii Forum
Baadhi y abiria walinusurika wakisaka mizigo yao baada ya ajali hiyo iliyopoteza uhai wa watu kadhaa

1 comment: