STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, August 11, 2013

Huyu alijeruhiwa vurugu za msikitini Kyela Mbeya

HUYU ni mmoja ya watu waliojeruhiwa katika vurugu wakati wa sala ya Idd zilizotokea jana katika msikiti wa Kyela mkoani Mbeya. Anatambuliwa kwa  jina la  Khamis Hussein na alijeruhiwa na kitu chenye ncha kali na kushonwa nyuzi tatu.

Pichani akiwa hospitali mara ya kupewa matibabu.

No comments:

Post a Comment