STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, August 4, 2013

WABUNGE WACHAPANA NGUMI ZA KAVU KAVU BUNGENI


Uuuh aaaah!
PICHANI ni baadhi ya  wabunge wa Taiwan 'walivyokuwa wakiadabishana' jana baada ya kupishana lugha kufuatia mpango wa kupiga kura ya maoni iliyoazimia kuidhinisha umaliziwaji wa mradi wa nne wa Nyuklia katika kisiwa ambacho kinakaliwa na watu wapatao milioni 23. Wabunge wa Tanzania ambao wamekuwa wakichimbana mkwara bungeni...wakifikia huku sijui itakuwaje? 
Acha mshikaji mnaharibu! Ngoja nimfunze adabu
Kuja hapa weweee!

No comments:

Post a Comment