STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, August 4, 2013

Wanahabari wa Habari Group watoa msaada kwa yatima


Diwani wa Viti Maalumu na Mwenyekiti Mtendaji wa Aisha Sururu Foundition, Bi. Aisha Sururu kulia akiwakabidhi sehemu ya msaada alioutoa kwa ajili ya kuchangia yatima kwa wanachama wa kikundi cha Habari Group, Rabia Bakari (kushoto) na Asha Bani kwa ajili ya kupeleka kwa yatima katika vituo mbalimbali  Misaada mingine ilitolewa na Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia, January Makamba, Mmiliki wa Maduka ya Silva Botique, Madam Nora, Katibu wa Taasisi ya Masheikh na Wanazuoni wa kiislam Sheikh  Khamisi Mataka, na Mkurugenzi wa Kampuni ya QUALITY Printers And Stationers Amani Soko

Diwani wa Viti Maalumu na Mwenyekiti Mtendaji wa Aisha Sururu Foundition, Bi Aisha Sururu (kushoto) akiwakabidhi sehemu ya msaada alioutoa kwa ajili ya kuchangia yatima kwa wanachama wa kikundi cha Habari Group Rabia Bakari na Asha Bani kwa ajili ya kupeleaka kwa yatima wa vituo mbalimbali.

Wanachama wa kikundi cha Habari Group, Rabia Bakari (kulia) na Asha Bani wakiangalia baadhi ya vyakula na vitu mbalimbali walivyokabidhiwa kwa ajili ya kwenda kugawa kwa  yatima.
Sehemu ya misaada hiyo

Wanachama wa Habari Group wakia katika picha ya pamoja na na mwenyekiti mtendaji wa Aisha Sururu Foundition Bi. Aisha Sururu
Moja ya kituo cha kilichopewa misaada na Habari Group Leo

Mwanachama wa Kikundi cha Habari Group, Asha Bani (kulia) akikabidhi sehemu ya msaada  walioutoa kwa  Katibu wa Kituo cha kulelea watoto yatima cha Al-Hidaya Orphans Center and Tahfidhil-qur-an cha Buguruni Bw. Abubakari Simba jijini Dar es salaam leo.

Baadhi ya wanachama wa kikundi cha habari Group wakiwa katika picha ya pamoja na  yatima wanaolelewa katika Kituo cha Al-Hidaya Orphans Center and Tahfidhil-qur-an cha Buguruni baada ya kutoa misaada mbalimbali leo

Mwanachama wa Kikundi cha Habari Group, Asha Bani kulia akikabidhi sehemu ya msaada walioutoa kwa  Katibu wa Kituo cha kulelea watoto yatima cha Al-Hidaya Orphans Center and Tahfidhil-qur-an cha Buguruni Bw. Abubakari Simba Dar es salaam leo.

Mwanachama wa Kikundi cha Habari Group, Asha Bani (kulia) akikabidhi sehemu ya msaada  walioutoa kwa  Msimamizi Mkuu wa kituo cha kulelea yatima cha Al Furqan Islamic Center cha Chanika Bw. Hamisi Omari  Dar es salaam leo
Baadhi ya wanachama wa kikundi cha habari Group wakiwa katika picha ya pamoja na  yatima wanaolelewa katika kituo cha Al Furqan Islamic Center cha Chanika baada ya kutoa misaada mbalimbali leo.

No comments:

Post a Comment