STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, September 13, 2014

Hivi ndivyo wahitimu wa la 7 Brain Trust School walivyoagwa jana

Skauti walioongoza maandamano wa kuingia kwenye eneo la tukio
Ni wakakamavu kudhihirisha ni mashujaa wa kesho
Kwa mwendo wa pole mbele tembeaaaaaa!

Matarumbeta yalikuwapo kusapoti sherehe hizo
Wahitimu wakielekea kwenye eneo la tukio



Maandamano fulani ya kuonyesha furaha yao ya kuhitimu Darasa la Saba
Mkuu wa Shule ya Msingi, Neville Marandu akizungumza machache, huku Mkuu wa Shule za Brain Trust, Irene Makinda (pembeni yake kulia) akiwa bize


Hawa nao walikuwapo kushuhudia kila kitu kwa umakini zaidi
Baadhi ya wazazi na walezi waliohudhuria sherehe hizo jana Yombo Vituka

Wazazi na walezi wakiwa makini kufuatilia kila tukio katika mahafali hayo
Hakuna aliyetaka kupitwa na jambo au asimuliwe na mtu



Gift Marandu akisoma shairi mbele ya hadhira kwa umahiri mkubwa

Kama Mwanamalenga katika ughani mashairi
Dada zao wa Sekondari nao walikuwapo kuwapa mkono wa kwaheri

Kwa herini wadogo zetu, heri twawatakia, makini muwapo makwenu....
Dada zao wa Sekondari wakiendelea kuwaburudisha kwa kuwaimbia ngonjera na nyimbo

Ikawa zamu ya wahitimu wenyewe kuingia kilingeni kuonyesha umahiri wao
Kwa kujiamini wahitimu wakiingia uwanjani kuangusha burudani la mwisho mwisho


Kazi ikaanza kwa kuimba wimbo
Wakaangusha na ngonjera

Mashairi pia yalikuwapo
Wahitimu wa Elimu ya msingi wa Shule ya Brain Trust wakiendeleza kutoa burudani

Samuel Robert (kulia) akawaongoza wenzake kuangusha njongera
Dogo achana naye ana kipaji cha kughani acha bhana!


Kwa mbwembwe ndiyo kabisaaaaa
 

Ikawa zamu ya mwanadada naye kuonyesha makeke yake

Skauti nao wakaingia uwanjani kuonyesha umahiri wao katika sanaa hiyo
Hayaaaa twende

Ni nyuma geuka, kulia geuka kwa ukakamavu kama maafande
 






Ikaja zamu ya mwnafunzi huyo wa Chekechea Mereciana Ronald ambaye aliangusha burudani ya kufa mtu
Anacheza kwa pozi taratibu kama hataki

Kadri mzuka ulivyokuwa ukimpanda ndivyo alivyoongeza makeke kwa kunengua muziki
 

Akachanganya kasi we kama Aisha Madinda

Hapo chachaaaa! Yebaaaa
Mkuu wa Shule ya Msingi Brain Trust, Neville Marandu akisoma wasifu wa shule
Mgeni rasmi ikafika zamu yake kutoa nasaha zake ni Richard Mngomo wa Tanzania Printers
Msiridhike na kumaliza kwenu la Saba bado mna kazi kubwa mbele yenu, ndivyo alivyowanasihi wahitimu
Wahitimu wakaanza kukabidhiwa vyeti vyao

Immaculata Justine Limonga, naye alitunukiwa cheti na mgeni rasmi wa mahafali hayo
Ilikuwa furaha kwa wahitimu baada ya kukabidhiwa vyeti vyao
Immaculata Justine akiwa katika picha mbalimbali na familia yake baada ya kukabidhiwa cheti cha kuhitimu darasa la saba katika shule ya Brain Trust

Anafanyiwa surprise
 

Pokea keki ya zawadi mwanangu

Mdogo mtu anampokea keki ya zawadi

Daa nitaifaidije hiii
Akifurahia zawadi ya Mwanafunzi Mwenye Nidhamu na Msafi kuliko wote Brain Trust School

No comments:

Post a Comment