STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, October 31, 2014

Mchezaji Celtic afungiwa mechi 7 kwa ubaguzi wa rangi

WINGA mahiri wa klabu ya Celtic, Aleksandar Tonev amefungiwa mechi saba kwa kosa la kumfanyia vitendo vya ubaguzi wa rangi beki wa Aberdeen Shay Logan.
Tonev, 24 alilimwa adhabu hiyo kufuatia tukio hilo na Logan ambaye ni raia wa Uingereza katika mechi ya Ligi Kuu nchini Scotland Septemba mwaka huu. 
Winga huyo wa kimataifa wa Bulgaria yuko kwa mkopo Celtic akitokea klabu ya Aston Villa. 
Celtic katika taarifa yake wamesema watakata rufani kupinga adhabu hiyo wakidai kuwa mchezo huyo siyo mbaguzi. 
Tukio hilo limetokea katika kipindi cha cha mchezo ambao Celtic waliifunga Aberdeen mabao 2-1 Septemba 13.

No comments:

Post a Comment