STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, October 25, 2014

PSG yatakata nyumbani Ufaransa

http://e0.365dm.com/13/01/660x350/PSG-celeb-v-Lille-2013_2892057.jpg?20130127231513MABINGWA watetezi wa Ligi ya Ufaransa, Ligue 1, PSG imepata ushindi mnono nyumbani baada ya kuinyuka Bordeaux kwa mabao 3-0.
Mikwaju miwili ya penati iliyofungwa kila kipindi na Lucas katika dakika ya 45 na 50 na jingine la Ezequel Lavezzi katika dakika ya 81 yaliwapa wababe hao wa Paris ushindi huo na kufikisha jumla ya pointi  21 na kuwashusha wapinzani hao nafasi ya tatu na kukwea kwenye nafasi ya pili nyuma ya Olympique Marseille.
Timu hizo zote zilijikuta ikicheza pungufu kwa kupoteza mchezo mmoja mmoja, PSG wakianza dakika ya 28 baada ya Gregory van der Wiel kulimwa kadi nyekundu kabla ya Andre Biyogho Poko wa Bordeaux katika dakika ya 37.

No comments:

Post a Comment