STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, October 25, 2014

Newz Alert! Polisi Znz yamnasa mtu na mabomu manne ya kivita

Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdan Omar Makame
Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdani Omar Makame
HABARI zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa, Jeshi la Polisi Visiwani Zanzibar, linamshikilia mtu mmoja baada ya kumkamata ma mabomu manne ya kivita.
Hata hivyo jeshi hilo limesema litatoa maelezo kamili ambazo MICHARAZO itawajuza mara baada ya kuzipata.
Kadhalika katika tukio jingine, Mtoto wa aliyekuwa Naibu Waziri wa Afya ambaye pia ni Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki, Lucy Nkya,  Jonas Nkya amekanusha taarifa za kuwepo kwa tukio la kurushiana risasi na mama yake huyo kama ilivyoripotiwa na baadhi ya mitandao leo.

No comments:

Post a Comment