STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, October 25, 2014

Diamond aliangukia jeshi kwa kuvaa magwanda yao Fiesta

http://haazu.com/wp-content/uploads/2014/09/Diamond1.jpg
Msanii Diamond Plutnumz
BAADA ya mbwembwe za Meneja wake kudai kuwa walikuwa na kibali cha kuvaa magwamda ya Jeshi, msanii Diamond ameamua kuomba radhi kwa kitendo alichofanya kwa kutinga mavazi hayo kwenye onyesho la Fiesta Jumamosi iliyopita.
Diamond ameanguka kuomba radhi kwa Jeshi kupitia barau ambayo MICHARAZO imeiona ikiwa ni saa chache tangu akabadhi magwanda hao kwa Polisi wa kituo cha Oysterbay iliyomhoji kwa saa kibao kutokana na kitendo hicho ambacho ni kinyume cha sheria za nchi.
Icheki barua yenyewe ;

No comments:

Post a Comment