STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, October 25, 2014

Borussia Dortmund yazimwa nyumbani na Hannover 96

http://static.reviersport.de/include/images/articles/wide/000/288/658.jpeg
Hiroshi Kiyotake aliyeizima Dortmund nyumbani kwao

BORUSSIA Dortmund ikiwa na nyota wake wote imekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Hannover 96 katika pambano la Ligi Kuu ya Ujeruman, Bundesliga lililomalizika hivi punde.
Bao pekee lililowazamisha wababe hao liliwekwa kimiani na Mjapani Hiroshi Kiyotake katika dakika ya 61 kabla ya washindi hao kujikuta wakisalia 10 uwanjani dakika za jioni baada ya mchezaji wake Gulselam kulimwa kadi nyekundu baada ya kuonyesha kadi ya pili ya njano.
Kipigo hicho kimeiacha Dortmund ikiwa na pointi saba na kuzidi kumpa wakati mgumu kocha Jurgen Kloop  aliyeifikisha timu hiyo katyika Fainali za Ligi ya Mabingwa Ulaya mwaka juzi na kulala kwa wapinzani wao Bayern Munich

No comments:

Post a Comment