STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, November 11, 2014

Rais JK anaendeleas vyema Marekani

Miraj AAHALI ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. Jakaya Kikwete aliyepo Maryland Marekani kwa ajili ya matibabu, inaendelea vizuri na ameanza mazoezi ya kutembea ikiwa ni siku ya pili tangu afanyiwe upasuaji wa tezi dume.
Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imetoa taarifa hiyo na kuongeza kuwa itaendelea kutoa taarifa kadri hali yake itakavyokuwa inaendelea.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa mtoto wa Rais Kikwete, Miraj Kikwete (@kikwete) ameweka picha muda mfupi uliopita inayomwonyesha Rais pamoja na maneno haya;- “… #26464 #we #good TABASAMU TU LEO . thank you everyone for your endless support, love and prayers. It means so much to Dad, myself and our family. You are a strength to us. TUNAWASHUKURU KWA KUJALI ….
Miraj


No comments:

Post a Comment