STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, January 4, 2015

Breaking News! Mwanamuziki Kachumbari afariki dunia

http://www.charlesmusicstore.com/images/percussion/hand_percussion/SantanaCongas.jpg
HABARI zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa mwanamuziki aliyewahi kutamba na bendi mbalimbali ikiwamo Chuchu Sound, Flowing Kachumbari amefariki dunia asubuhi hii.
Kwa mujibu wa kiongozi wa bendi ya African Minofu, Joseph Matei, ameiambia MICHARAZO kuwa mpiga tumba na dramu huyo amefariki asubuhi ya leo na kwa sasa wanafanya taratibu za mazishi yake.
MICHARAZO inaendelea kufuatilia na itawajulisha kinachoendelea.

No comments:

Post a Comment