STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, January 13, 2017

Dakika ya 75 bado 1-0 Azam ikiongoza

DAKIKA ni ya 75 matokeo bao ni 1-0, Azam ikiongoza na timu zimefanya mabadiliko, Joseph Mahundi katoka kumpisha Frank Domayo, Mudathjiri Yahya kampokea Yahya Mohammed, huku Simba ikimtoa Mzamiru Yahya na kumuingiza Pastory Athanas. 

No comments:

Post a Comment