STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, January 13, 2017

Mudathir Yahya kabadili mchezo

KUINGIA kwa Mudathir Yahya kwa upande wa Azam kumefanya timu hiyo kubadilika kabisa, tofauti na kipindi cha pili kilipoanza ambapo Simba walitawala kwa sehemu kubwa ya mchezo na kuonekana kama itasawazisha bao. Bao bado 1-0 Azam ikiwa mbele.

No comments:

Post a Comment