STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, January 13, 2017

Pambano la Simba na Azam limeanza

PAMBANO la fainali za Kombe la Mapinduzi kati ya Simba na Azam limeanza kama dakika 10 zilizopita na Wekundu wa Msimbazi wanafanya mashambulizi makali langoni mwa Azam.
Kichuya ameonekana msumbufu kwa mabeki wa Azam, lakini bado Simba wamekosa plan ya kupata bao mapema.
Azam wameonekana kuimarika na wamejaribu kama mara mbili kumpima Daniel Agyei, lakini milango imekuwa migumu. Micharazo itaendelea kukuwaletea dondoo za mchezo huu.

No comments:

Post a Comment