STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, January 13, 2017

Kocha Antonio Conte atwaa tuzo nyingine England

Kocha Conte

Zlatan na tuzo yake
KOCHA wa Chelsea, Mtaliano Antonio Conte ametwaa tuzo kwa mara nyingine ya kuwa Kocha Bora katika Ligi Kuu ya England kwa mwezi Desemba.
Hiyo ni tuzo ya tatu mfululizo ambayo Kocha hjuyo ameitwaa ikiwa ni rekodi katika ligi hiyo. Conte alipewa tuzo hiyo leo ikiwa ni mara ya tatu baada ya Oktoba na Novemba pia kuibeba.
Wakati huo huo, straika wa Man United, Zlatan Ibrahimovic amenyakua tuzo ya Mchezaji Bora wa mwezi huo wa Desemba mwaka jana.

No comments:

Post a Comment