STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, January 13, 2017

Zimeongezwa dakika nne

ZIMEONGEZWA dakika nne kabla ya pambano la fainali tya Kombe la Mapinduzi 2017 kati ya Simba na Azam kumalizika na Azam inaelekea kuweka rekodi ya kutwaa taji lao la tatu katika fainali tatu ilizowahi kucheza katika michuano hiyo.
Kama itatwaa itakuwa inalingana na Simba ambayo ilikuwa imetwaa mataji matatu katika fainali zao tano za mwanzo kabla ya leo inayoelekea mwishoni. Azam 1 Simba 0.

No comments:

Post a Comment