STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, July 6, 2013

AIRTEL YATOSHA KUWAPA NYUMBA WATEJA WA AIRTEL

 Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando akiongea na waandishi wahabari (hawapo picha a Nyumba 3,  iliyofanyika  katika ofisi za Airtel jijini Dar Es Salam ,akifuatiwa na meneja masoko wa Airtel bi Anethy Muga.
Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani)  nyumba watakayojishindia washindi wa Airtel Yatosha Shinda Nyumba 3 iliyozinduliwa leo  katika ofisi za Airtel Morrocco jijini Dar Es Salam ,akifuatiwa na meneja masoko wa Airtel bi Anethy Muga.

No comments:

Post a Comment