STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, July 6, 2013

Miyeyusho azidi kujifua ili amtwange Mkenya Tamasha la Matumaini


 Bondia Francis Miyeyusho (kushoto) akiwa katika mazoezi kwenye Gym ya Lazima Ukae, iliyopo Mwananyamala jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wake wa kirafiki na Bondia Shadrack  Muchanje kutoka nchini Kenya. Mabondia hao watapanda ulingoni kuonyeshana umwamba siku ya Tamasha la Matumaini litakalofanyika kesho Jumapili  kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, ambalo litakuwa ni la raundi sita. Miyeyusho yeye amecheza mapambano 38 huku mpinzani wake, akiwa amecheza mapambano 14 hadi sasa.
 Panchi zikiendelea.....
 Miyeyusho akipozi......
Panchi zikiendela...Lazima akae siku hiyo.....

No comments:

Post a Comment