STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, August 25, 2014

Mshindi wa Mwanamakuka 2013 kuzikwa kesho Dar

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiL5zHRfDLq1GCnpOrurq-fFbkQa4bBB05ILyLnvaZizKwGBUSjk2dDSjaI5R7R6k_7Lqv1H1dGiVoXsgsoxON0J4v0oEtOvMYDpcPFXkzrwjk-9wwY7QKJpardBHV8n8tGn2aDT8HlVLpO/s1600/Mwanamakuka.jpg
Aziza Mbogolume enzi za uhi wake akiwa na washindi wenzake wa Tuzo za Mwanamakuka 2013, Leila Mwambungu Kushoto na Theo aliyekuwa mshindi wa tatu.
MWILI wa aliyekuwa Mwanamakuka 2013, Aziza Mbogolume unatarajiwa kuzikwa kesho majira ya mchana.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopenyezwa na chanzo chetu ni kwamba msiba wa marehemu upo Magomeni Mwembechai na kwamba tayari wanandugu na marafiki wa marehemu wamekusanyana na kupanga kumhifadhi mwenzao kesho mchana maeneo ya Magomeni Kagera.
"Marehemu Aziza Mbogolume anatarajiwa kuzikwa kesho saa 9 mchana Magomeni, na hapa tulipo tunajipanga kwa ajili ya shughuli hiyo ili kumsindikiza mwenzetu," chanzo hicho kilisema.

No comments:

Post a Comment