
Inaelezwa kuwa mtuhumiwa huyo aliuwawa kwa risasi wakati akijaribu kutoroka akiwa chini ya ulinzi akiwa njiani kuelekea Kondoa, Dodoma kuonyesha bomu alilokuwa amelificha maeneo hayo.
Taarifa zinamtaja mtuhumiwa huyo kuwa ni Yahya Hassan Omar na Polisi wamedai ndiye aliyekuwa mtuhumiwa namba moja wa kesi ya ulipuaji mabomu jijini Arusha, akiwa amewahi kukiri mwenyewe kuhusiana na matukio hayo.
No comments:
Post a Comment