
Kipa wa zamani wa Arsenal, Lukasz Fabianski aliinyima mabao na kuibeba Swansea

Danny Welbeck akifumua shuti ambalo hata hivyo halikuzaa bao katika kipindi cha kwanza.

Mshambuliaji wa Arsenal Santi Cazorla akigangwa baada ya kuumizwa

Gylfi Sigurdsson akishangilia bao lake la kuwasawazisha na wachezaji wenzake wa Swansea
![]() |
Wachezaji wa Arsenal wakiwa hoi baada ya bao lao kusawazishwa |
Alexis Sanchez alifunga bao lake la sita katika mechi nne akimalizia kazi nzuri ya Danny Welback dakika chache baada ya kuanza kupindi cha pili, kabla ya nyota wa zamani wa Spurs, Gylfi Sigurdsson kusawazisha kwa mpira wa frii kiki dakika ya 75.
dakika tatu baadae mtokea benchi, Bafetimbi Gomis alifunga bao tamu la kichwa na kuwazima vijana wa Arsene Wenger ambao hicho ni kipigo chao cha pili msimu huu.
No comments:
Post a Comment