STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Monday, January 12, 2015

Mwana Mfalme aahidi makubwa FIFA atakapochaguliwa

http://www2.pictures.zimbio.com/gi/Ali+Bin+Al+Hussein+FIFA+Ballon+Gala+2012+NI3gHmXp6hll.jpgMGOMBEA Urais katika uchaguzi ujao wa Shirikisho la Soka Duniani-FIFA, Prince Ali bin Al Hussein amejinadi kuwa atakuwa atalifanya shirikisho hilo kuwa la uwazi na uwajibikaji kama atachaguliwa kugombea kumshinda rais wa sasa Sepp Blatter katika Uchaguzi huo.
Prince Ali mwenye umri wa miaka 39 alitangaza mipango yake ya kugombania nafasi hiyo mapema wiki hii na kuapa kusafisha jina la shirikisho hilo ambalo hivi sasa limechaguzi kwa tuhuma mbalimbali za ufisadi. Mwana mfalme huyo wa Jordan amesema kama taasisi FIFA imekuwa ikifanya mambo yake kwa siri hivyo anadhani wakati umefika wa kubadilisha suala hilo na kulileta kwa wakati tunaoishi sasa wa ukweli na uwazi. Uchaguzi wa FIFA unatarajiwa kufanyika Mei 29 mwaka huu
Shirikisho la Soka Duniani, FIFA limekuwa likighubikwa na kashfa ya rushwa juu ya mchakato wa upatikanaji wa wenyeji wa fainali mbili za Kombe la Dunia za 2018 zitakazofanyika Russia na zile za 2022 zitakazochezwa Qatar.
Copy and WIN : http://bit.ly/copy_win

No comments:

Post a Comment