STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, January 2, 2015

WACHEKI MASTAA WALIOCHEZA FILAMU YA WAKE UP

 
BAADHI ya Mastaa wa filamu Tanzania wakiwa katika pozi. Hao ni kati ya wakali walioshiriki filamu mpya ya Manaiki Sanga 'The Don' iitwayo Wake Up. Muongozaji wake, Leah Richard Mwendamseke 'Lamata' ameidokeza MICHARAZO kwamba filamu hii ni kama The Expendables iliyoshirikisha nyota mbalimbali wa filamu ulimwenguni.
 
Mzee Majuto akiwa kazini na wasanii wengine ndani ya Wake Up.

 
Mastaa nyota wa filamu nchini Irene Uwoya na Hemed Suleiman kama wanavyoonekana wakiigiza filamu hiyo ya Wake Up huko Mkoani Morogoro
 
Jackline Wolper vs Irine Uwoya ambao wamechuana vikali ndani ya filamu hiyo ya Wake Up ya msanii Manaiki Sanga " The Don"


 
Frola Mvungi na Mama Abdul wakiwa mzigoni kumalisha sehemu ya filamu hiyo ya kwanza nchini Tanzania kuchezeswa mastaa zaidi ya 30 pamoja haijawahi tokea
 
Wasanii Kajalia Masanja na mwenzake wakikamua ndani ya filamu ya Wake Up, ambapo kulikuwa na upinzani mkali sana wakati wa kuigiza ili kila mtu asionekane kucheza ndani ya kiwango.

No comments:

Post a Comment