STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, January 2, 2015

DC Kinondoni akanusha taarifa za Panya Road

https://24tanzania.com/wp-content/uploads/2013/02/a24aJordan-Rugimbana2.jpg
DC Rugimbana
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana amesema kuwa taarifa kuhusu uvamizi wa kundi la Panya Road ni uvumi tu.
Akizungumza moja kwa moja na Cloud's FM, Rugimbana amesema kuwa uvumi huo umetokea baada ya kundi la vijana hao kutoka kumzika mwenzao eneo la Magomeni Kagera na walipotaka kuanzisha fujo kabla ya kutawanywa na mabomu ya machozi.
"Hata mimi nimesikia taarifa hizo, lakini ni uvumi tu ambao unaweza kuleta taharuki, na hata hao wanaovumisha ukiwaluliza ukweli watakujibu wamesikia, ila tyukio hilo lilianza saa 10 wakati vijana hao walipokuwa wametoka kumzika mwenzao," alisema DC Rugimbana.
Hata hivyo wakati DC Rugimbana akinausha taarifa hizo mashuhuda wameeleza kuwashuhudia vijana hao, ingawa Dc amesisitiza kuwa RPC Suleiman Kova atatoa tamko

No comments:

Post a Comment