
Tajiri huyo mwenye umri wa miaka 78 ambaye amepewa wiki moja kukata rufani kuhusiana na adhabu hiyo pia ametakiwa kuhudhuria darasa la ushauri litakalokuwa likiendeshwa na Chama cha Soka cha Uingereza.
Mwezi uliopita Whelan alikubali tuhuma hizo lakini alikataa kauli alizotoa wakati akihojiwa na gazeti moja kuwa za kibaguzi.
Novemba mwaka huu Whelan alidai kuwa atajiuzulu kama akikutwa na hatia ya kuwa mbaguzi.
No comments:
Post a Comment