STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Friday, January 2, 2015

Yanga yafanya mauaji Mapinduzi Cup

http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0557-0.jpgPAMBANO la Kombe la Mapinduzi kati ya Yanga na Taifa Jang'ombe limeisha kwa Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 4-0, huku Simon Msuva aliyeifungia mabao matatu akichaguliwa kuwa Man of the Match sambamba na kuondoka na mpira.
Bao jingine la nne liliwekewa kimiani na Kpeh Sean Sherman.

No comments:

Post a Comment