
PAMBANO la Kombe la Mapinduzi kati ya Yanga na Taifa Jang'ombe limeisha kwa Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 4-0, huku Simon Msuva aliyeifungia mabao matatu akichaguliwa kuwa Man of the Match sambamba na kuondoka na mpira.
Bao jingine la nne liliwekewa kimiani na Kpeh Sean Sherman.
No comments:
Post a Comment