STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, April 5, 2014

Wanafunzi, wazazi walivyoikaribisha likizo ya masomo Joyland

Wazazi walijitokeza kwenye sherehe hizo za kufunga shule

Wazazi wakinasa matukio kwa kamrra za simu zao

Kila mtu hakutaka kupitwa na jambo
Wanafunzi wa Joyland Pre & Primary International School
Wanafunzi wakiwa wamepozi na mmoja walimu
Mkurugenzi wa Joyland, Fredirick Otieno akizungumza kwenye hafla hiyo huku akipigwa na manyunyhu ya mvua
Mvua ilitaka kutibua mambo
Wanafunzi wa Joyland wakipangwa na walimu wao tayari kutoa burudani
Wazazi nao walikuwa wakinasa matukio
Wanafunzi wakiingia uwanjani kuonyesha makeke yao
 

Full heshima kwa wazazi
Wanaimba
Wanafunzi wakiimba
Kipaji cha muziki kipo hapa jamani acheni utani!
Yaani hakuna aloiyetaka kusimuliwa
Kila mmoja anajua anachokifanya uwnajani...Vipaji tupu!
Bendi ya shule ilikuwa kiburudisho tosha, jamaa kama Twanga Pepeta
Kama Victor Mkambi kwa kupapasa kinanda
Wataalam wa klabu ya Lugha ya Kiingereza wakiingia kuonyesha yao
Wakijiweka sawa


Wazazi wakiwa bize
 





 


 
Msosi nao ulikuwa sehemu ya sherehe hizo
Maandalizi ya kugawa msosi yalikuwa yakiendelea
 


Waliofanya vizuri walizawadiwa kama hivi
Wazazi walisaidia kuwapokea zawadi watoto wao
Mkurugenzi Otieno akiomba dua ya kufungia sherehe
Mandhari ya Shule ya Joyland International
Kwa hakika inavutia
 

Watoto wakifurahia mandhari ya shule hapa ni kwenye bwawa la maji
 

Watoto wakifurahia maji kwenye bwawa
 

Watoto wakicheza

No comments:

Post a Comment