STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, April 27, 2014

Souchaux yachomoa bao la PSG

http://www.getfootballnewsfrance.com/assets/Silva.jpg
Brazil Thiago Silva kajifunga bao
BAO la kujifunga la Thiago Silva la dakika 56, limeisaidia wenyeji Sochaux kusawazisha bao katika mechi inayoendelea ya Ligi Kuu ya Ufaransa ambayo inaweza kutoa bingwa wa ligi hiyo.
Pambano linaingia dakika ya 70 na matokeo yakiwa 1-1, wakati PSG inahitaji ushindi wowote leo kuweza kutangazwa mabingwa kwa mara ya pili nchini humo kwani itafikisha pointi 85 na michezo mitatau mkononi ambazo hazitaweza kufikiwa na timu yoyote ikiwamo wapinzani wao wa karibu Monaco.

No comments:

Post a Comment