STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, May 8, 2014

Hiki ndicho kikosi cha timu ya Ujerumani

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEibSP_Yg7CYyjdkHBV1ejPgbs7Bwfb81J1wLzQfBJrScwYqEj7mtWCc6wRXIWut4Ls_dd3I2MJM49ksFvcyOJZ-bQ18cGvhgJEf7NbxuRm8xDt7Fod8xS0VJKkv7m7IOZHJGV1JoIMiD6sf/s400/Germany+National+Football+Team+Fifa+World+Cup+2014+6.png
SIKU moja baada ya Brazil kutangaza kikosi chao cha ushiriki wa Fainali za Kombe la Dunia, Ujerumani nao wametengaza leo kikosi chake, huku klabu ya Arsenal ikifanikiwa kuwatoa wachezaji watatu akiwamo Kiungo Mesut Ozil.
Wengine walioteuliwa katika kikosi hicho kwa ajili ya Fainali za Dunia zitakazofanyika mwezi ujao nchini Mshambuliaji wa Chelsea, Andre Schurrle pia ameteuliwa katika kikosi hicho kilichotangazwa na kocha wa timu hiyo Joachim Low.
Kikosi kamili cha Ujerumani ni;
 Makipa: Manuel Neuer (Bayern Munich), Roman Weidenfeller (Borussia Dortmund) na Ron-Robert Zieler (Hannover)

Mabeki: Erik Durm (Borussia Dortmund), Jerome Boateng (Bayern Munich), Kevin Grosskreutz (Borussia Dortmund), Benedikt Howedes (Schalke), Mats Hummels (Borussia Dortmund), Marcell Jansen (Hamburg), Philipp Lahm (Bayern Munich), Per Mertesacker (Arsenal), Shkodran Mustafi (Sampdoria) na Marcel Schmelzer (Borussia Dortmund).
 
Viungo: Lars Bender (Bayer Leverkusen), Julian Draxler (Schalke), Matthias Ginter (Freiburg), Leon Goretzka (Schalke), Mario Gotze (Bayern Munich), Andre Hahn (Augsburg), Sami Khedira (Real Madrid), Toni Kroos (Bayern Munich), Max Meyer (Schalke), Thomas Müller (Bayern Munich), Mesut Ozil (Arsenal) na Marco Reus (Borussia Dortmund)

Washambuliaji: Lukas Podolski (Arsenal), Andre Schurrle (Chelsea), Miroslav Klose (Lazio) na Kevin Volland (Hoffenheim).

No comments:

Post a Comment