
Katika orodha hiyo klabu ya Manchester United imeendelea kuwa juu ya vilabu vya England licha ya kufanya vibaya msimu huu.
Manchester United imeshuka thamani kwa 11% tangu ilipomuajiri David Moyes kama kocha wake mkuu.
Chini ya Moyes Manchester United imepata hasara ya £181.5m, huku majirani zao Manchester City wao wamepanda thamani kwa 25%
Orodha kamili ya Klabu hizo Tajiri Duniani ni;
No comments:
Post a Comment