STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Thursday, May 8, 2014

Kumekucha uchaguzi Simba

http://ptblog.pesatimes.com/wp-content/uploads/2014/05/ndumbaro-300x2531.jpg
WANACHAMA wa klabu ya soka ya Simba wataanza kuchukua fomu za kuwania uongozi wa klabu hiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Juni 29.
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi wa klabu hiyo Damas Ndumbaro fomu zitatolewa kuanza kesho kuelekea kwenye kinyang'anyiro hicho cha uchaguzi unaokuja baada ya uongozi wa akina Ismail Aden Rage kumaliza muda wao kesho.

No comments:

Post a Comment