STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Tuesday, December 2, 2014

Marehemu Senzo Meyiwa atinga Tano Bora tuzo za CAF 2014

http://www.timeslive.co.za/sport/soccer/2014/10/27/senzo-meyiwa6/ALTERNATES/crop_630x400/Senzo+MeyiwaALIYEKUWA nahodha na kipa tegemeo wa timu ya taifa ya Afrika Kusini 'Bafana Bafana' na klabu ya Orlando Pirates, Senzo Meyiwa aliyeuwawa na majambazi mwezi uliopita ni miongoni mwa nyota waliotinga Tano Bora ya Tuzo ya Mwanasoka Bora Anayecheza Soka barani Afrika.
Kipa huyo aliyeuwawa kwa kupigwa risasi akiwa kwa hawara yake, ametangazwa katika orodha hiyo ya mwisho iliyotolewa na Shirikisho la Soka Afrika, CAF.
Wengine wanaochuana na marehemu huyo ni  Akram Djahnit, El Hedi Belamieri wote wa Algeria na E.S. Setif, Fakhreddine Ben Youssef wa Tunisia na C.S. Sfaxien na Firmin Mubele Ndombe wa DRC na AS Vita.

No comments:

Post a Comment