STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, February 7, 2015

TANZAIA: MUINGIZAJI WA KAOLE AFARIKI DUNIA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjks1hjwTP8Q0Vl_k4K4nOEkfxDXbksWhyphenhyphen_LlhSUdlCHbEDgzM3LilEiG4s2LvSiMzHxc61pDthJA1RIeyJiJp4BEPDQ5IprTuUcqUZHOKBl_-FIXPWjXog_TJAtWxSEe7t1CJXCxAHEtI/s1600/KaoneSanaa-cut-533.jpg
Baadhi ya wasanii waliowahi kuigiza na Mama Mashaka wakiwa na Januari Makamba. Wasanii hawa wamelifufua kundi kwa jina jipya la Kaone Sanaa Group
MSANII wa maigizo aliyewahi kuwika na kundi la Kaole Sanaa Group, Mwajuma Abdallah ‘Mama Mashaka’ amefariki dunia.
Mama Mashaka amefariki usiku wa kuamkia leo majira ya saa tano za usiku katika Hospitali ya Amana iliyopo Ilala, jijini, Dar.Kwa habari zaidi tutaendelea kukujuza hapa.
GPL

No comments:

Post a Comment