STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, February 7, 2015

Prisons yazidi kutaabika, Kagera Sugar yapumua!

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEizcnJ7pJWKJePJhfNmkOr2yBu9fwMkWd7cQe_UETGS3trCWrp-L1l0ibmEWED5gAINsVyz2e9dpQYp5uzBLpCrAH6CPsURTaDxnO43DnahnVVJ-Gur7-j8GB0wRkX-XJHOJQEYZT3o6LbV/s1600/Prisons+Mbeya.JPG
Prisons-Mbeya wanaoburuza mkia
http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/10906246_612237655589282_1427524500915532943_n.jpg
Mbeya City waliong'ang'aniwa na JKT Ruvu leo Chamazi
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_eQMj86MgOTPURUKvU3Dq8WL93GXLLAyYIfSKEVSZCrfBBOYSGRDplhH7mSEXZHwaGtzaQ5RQ-qVr8IRmZV5D7g6EdaUe7ovZEm_AqGOFvKfpK6dEL5FeGNS7nRfeSXHXTd8uX9gtuuk/s1600/IMG_5633.JPG
Kagera Sugar angalau sasa wanapumua baada ya kuondoa gundu Kambarage-Shinyanga

KAGERA Sugar ambayo tangu ihame dimba lake la Kaitaba ilikuwa haijaonja ushindi zaidi ya kupokea vip[igo katika uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza na kuamua kukimbilia Kambarage, Shinyanga.
Katika pambano lao la kwanza kwenye uwanja huo mpya Kagera iliondoa gundu kwa kuichakaza Mgambo JKT kwa kuilaza bao 1-0.
Bao pekee la pambano hilo liliwekwa kimiani na Atupele Green dakika ya 50 kwa kichwa akiunganisha krosi pasi ya Daud Jumanne na kuwapa ushindi wa kwanza unaowapeleka hadi kwenye nafasi ya nane wakiizidi Simba wanaokamata nafasi ya 9, huku kipigi cha Mgambo kimewashusha hadi nafasi 12.
Maafande wa Prisons bado wapo mkiani wakiwa na pointi 11 baada ya mechi 13.

MSIMAMO LIGI KUU TANZANIA BARA:
                            P   W    D    L    F   A   GD  Pts
01. Azam             12  06   04   02  17  10  07   22
02. Yanga            12  06   04   02  13   07  06  22
03. Polisi Moro     14  04   07   03  12   11  01  19
04. JKT Ruvu       14  05   04   05  14   14  00  19
05. Ruvu Sh'ting  14  05   04   05  10   11   -1  19
06. Mtibwa Sugar 11  04   06   01  13   07  06  18
07. Coastal Union 14  04   06   04  11   10  01  18
08.
Kagera Sugar 14  04   06   04  11   11  00  18 
09. Simba            13  03   08   02  13   11  02  17
10. Mbeya City     13  04   04   05  09   11  -2   16
11.
Ndanda Fc      14  04  03   07  13    18  -5  15
12. Mgambo JKT   12  04  02  06   06    11  -5  14
13. Stand Utd       14  02  06   06   09   17  -8  12
14. Prisons           13  01  08   04   10   12  -2   11
Wafungaji:

7- Didier Kavumbagu(Azam)
6- Samuel Kamuntu (JKT Ruvu), Rashida Mandawa (Kagera Sugar)
5- Ame Ali (Mtibwa), Danny Mrwanda (Yanga)
4-
Rama Salim (Coastal),  Simon Msuva (Yanga),  Emmanuel Okwi (Simba),Nassor Kapama (Ndanda)
3- Ally Shomari (Mtibwa),  Jacob Massawe (Ndanda), Kipre tchetche (Azam)

No comments:

Post a Comment