STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, August 27, 2014

Eto'o hatimaye aangukia miaka miwili Everton

Samuel Eto'o akisaini mkataba wa kuichezea Everton

Samuel Oto'o
MSHAMBULIAJI nyota wa nchi ya Cameroon aliyekuwa akiichezea Chelsea kabla ya kumaliza mkataba wake wa mwaka mmoja hivi karibuni, Samue Eto'o amesaini rasmi mkataba wa miaka miwili wa kukipiga Everton.
Awali Eto'o alikuwa akitajwa kunyemelewa na Liverpool lakini ujio wa Muitalia Mario Balotelli ulimfanya nyota huyo wa zamani wa Barcelona na Inter Milan kutua kwa Ze Toffies.

No comments:

Post a Comment