STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, August 27, 2014

Huu ndio ujio mpya wa Benjamini wa Mambo Jambo

MWANAMUZIKI Benjamin wa Mambo Jambo ameamua kuvunja ukimya akijiandaa kurudi kwa kishindo na ngoma mpya inayofahamika kama Kata K. Mwanamuziki huyo amebainisha kuwa alikuwa masomoni kiasi cha kushindwa kuwashushia mashabiki wake burudani zilizozoeleka, ila kwa sasa amewataka mashabiki hao kaeni mkao wa kula kwani amerejea kimoja katika 'game'.

No comments:

Post a Comment