STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Wednesday, August 27, 2014

Manchester Utd majanga matupu, yanyukwa 4-0

Finish: Arsenal loanee Benik Afoba (left) losts home under pressure from Keane for 3-0 with 20 minutes remaining in the game
Efoba akiwatungua Mashetani Wekundu bao la tatu
Unbelievable: United players stand shocked after MK Dons scored to make it 2-0, but worse was to come for Louis van Gaal's menJINAMIZI baya limeendelea kuiandama Manchester United baada ya usiku wa kuamkia leo kubamizwa mabao 4-0 na timu ya MK Dons.
Pambano hilo lililokuwa la michuano ya Kombe la Ligi (Capital One) limemuacha katika sintofahamu Kocha
Louis van Gaal ambaye ni kipigo cha pili kwa vijana wake tangu msimu mpya wa soka England uanze.
Mashetani Wekundu hao walikumbana na kipigo hicho kutokana na magoli ya Will Grigg dakika ya 25 na 63 na Benik Afobe anayecheza kwa mkopo MK Dons akitokea Arsenal aliyefunga pia mawili dakika ya 70 na 83.
Kipigo hicho kilimuacha kocha msaidizi wa Manchester United, Ryan Giggs kutokwa na machozi, huku LVG akishindwa kuamini kama timu ya 'mchangani' imewanyoa.

No comments:

Post a Comment