STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Saturday, September 27, 2014

Msechu, Vanessa, Diamond katika tuzo za AFRIMA-2014

Peter Msechu, Vanessa Mdee na Diamond watakaowanmia tuzo za AFRIMA
DIAMOND Platnumz, Vanessa Mdee na Peter Msechu wametajwa kuwania tuzo za AFRIMA za nchini Nigeria.
Wimbo wa Come Over imemuwezesha Vanessa kutajwa kuwania tuzo katika vipengele viwili vya Best African RnB Soul na Best Female Artist in Eastern Africa.
Peter Msechu kupitia wimbo wake Nyota na Diamond kupitia Number One wametajwa kuwania tuzo ya Best Male Artiste In Eastern Africa.
Diamond naye amepata nafasi mbili katika kinyang’anyiro kupitia wimbo wake wa Number One unawania pia tuzo ya Best African Collaboration.


Bofya hapa kuangalia orodha kamili

No comments:

Post a Comment