STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, April 13, 2014

Manny Pacquiao amshinda Timothyu Bradley kwa pointi


 Bondia Manny Pacquaio kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Timothy Bradley wakati wa mpambano wao uliofanyika leo alfajili manny pac alishinda kwa point
Bondia Timothy Bradley kushoto akipambana na Manny Pacquiao wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa WBO welterweight champion uliofanyika alfajili ya leo katika ukumbi wa MGM Grand in Las Vegas, Nevada. USA  Paquaio alishinda kwa pointi katika mchezo uho wa marudiano
Bondia Manny Pacquaio kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Timothy Bradley wakati wa mpambano wao uliofanyika leo alfajili manny pac alishinda kwa point
Bondia Timothy Bradley kushoto akipambana na Manny Pacquiao wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa WBO welterweight champion uliofanyika alfajili ya leo katika ukumbi wa MGM Grand in Las Vegas, Nevada. USA  Paquaio alishinda kwa pointi katika mchezo uho wa marudiano

No comments:

Post a Comment