STRIKA

STRIKA

USILIKOSE

USILIKOSE

Sunday, April 13, 2014

Newz Alert! Makamu wa Rais, Kova wanusurika kufa Dar

MAKAMU wa Rais Dk Gharib Mohammed Bilal p[amoja na Waziri wa Ujenzi Dk John Magufuli wamenusurika kufa katika ajali ya Helikopta wakati wakiwa kwenye ukaguzi wa uharibifu wa miundombinu uliosababishwa na mvua kubwa katika Jiji la Dsm.
Dk Mohamed Gharib Bilal, Dk.John Magufuli, Mkuu wa Mkoa wa Dar, Meck Sadiki na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum mkoa wa Dar es Salam Suleiman Kova na maafisa 11 waliokuwa kwenye helikopta hiyo  walinusurika kufa katika ajali hiyo iliyookea leo  Jijini Dsm.

walionusurika ni

1. Makamu wa Rais, Dr. Bilal

2. Mkuu wa mkoa wa Dar, Sadik

3. Mkuu wa polisi Kanda Maalum, Kova

Wamepata majeraha kidogo walikuwa wakikaguwa athari za mvua jijini.

No comments:

Post a Comment